Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
penye red tuko pamoja,Haya jiue tupate kuaminisha uyasemayo, bila hivyo, inaonesha mambo ya madiwani (chopa tatu madiwani watatu) halafu Kalenga na ukifikiria Chalinze unaweweseka kama ulivyoambiwa juu huko.
Nna uhakika bangi ya leo ni ile inayoleta uchizi.
Thibitisha kwamba mungu yupo.
Until you do so, I have no reason to further engage you.
By Kiranga
Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.
God is a fastidious fad fueled by a fantastic foolhardy fading fast.
Uweke hapa tufaidike sote
ukikaa njaa siku nyingi, bila kujinyonga ama kula sumu ama kujipiga risasi, au kuanguka kwenye gorofa, unaweza kuondoka..If that is the Case.Yericko tupo yako.
Binadamu ni kiumbe wa pekee ulimwenguni anayeyatawala mambo yote yasiyoonekana na yanayooneka, mimi huamini binadamu ni kiumbe na muumbaji, kwangu Mungu ni dhana tu.
Binadamu anaouwezo wa kukata uhai wake bila kutumia zana,kuugua,sumu ama chochote kile chenye kudhuru mwili hata kufa.
Kwakutumia akili yake tu anauwezo wakukiita/kukikaribisha kifo na kikamfika ndani ya masaa yasiyozidi 24, Zingatia kwakutumia "akili" yake tu, sio elimu yake. Fikra ya mwanadamu ni sumaku na hivyo ni kweli mwanadamu anao uwezo wa kukiita kifo na kikamjia; ila kinacho weza kucheleweza masaa kadhaa ndani ya uwezo wake ni namna gani kifo hicho kitatokea. Sumaku yake inapokivuta kifo nguvu za asili zinayachanganya mazingira yote yanayowezekana na kukusanya kimbunga za maguvu yatakayokifanya kifo kitokee kwa jinsi yake. Tembelea www.quasserer.com
Haya sio ya leo bali tangu karne ya 5 mpaka karne hii ya 21 yanatukia katika maisha ya mwanadamu.
Jamii za kiafrika na Asia ndizo huitumia sana dhana hii.
mmmmmmh!unamaanisha nini wewe Schiendler?
mmmmmmh!unamaanisha nini wewe Schiendler?
zito ni jembe. chadema bila zito inayumba sana, chadema bila zito ni sawa na gari bila injini. chadema imejengwa kwa misingi ya udini, ukabila ,na ukanda. chadema ina laana ya watanzania...
Binadamu ni kiumbe wa pekee ulimwenguni anayeyatawala mambo yote yasiyoonekana na yanayooneka, mimi huamini binadamu ni kiumbe na muumbaji, kwangu Mungu ni dhana tu.
Binadamu anaouwezo wa kukata uhai wake bila kutumia zana,kuugua,sumu ama chochote kile chenye kudhuru mwili hata kufa.
Kwakutumia akili yake tu anauwezo wakukiita/kukikaribisha kifo na kikamfika ndani ya masaa yasiyozidi 24, Zingatia kwakutumia "akili" yake tu, sio elimu yake. Fikra ya mwanadamu ni sumaku na hivyo ni kweli mwanadamu anao uwezo wa kukiita kifo na kikamjia; ila kinacho weza kucheleweza masaa kadhaa ndani ya uwezo wake ni namna gani kifo hicho kitatokea. Sumaku yake inapokivuta kifo nguvu za asili zinayachanganya mazingira yote yanayowezekana na kukusanya kimbunga za maguvu yatakayokifanya kifo kitokee kwa jinsi yake. Tembelea Home
Haya sio ya leo bali tangu karne ya 5 mpaka karne hii ya 21 yanatukia katika maisha ya mwana
zito ni jembe. chadema bila zito inayumba sana, chadema bila zito ni sawa na gari bila injini. chadema imejengwa kwa misingi ya udini, ukabila ,na ukanda. chadema ina laana ya watanzania...
Mkuu naona hapa umepost kwa kuwa ulistahili kuanzisha mjadala ila si kwa kuwa ulikuwa na mjadala wa kuanzisha!
Katika aina hii ya kifo, upo uwezo wa kibinadamu wa kukizuia kifo hicho
Ni nani aliefanikiwa kwa hilo?
Nikikupa mfano utataka kwa wale wanaofahamika, mimi nitakuwa wakawaida kabisa, Yur Gupta, Anna Mdapo, na wengineo wengi