Binadamu anauwezo wakujiua mwenywe bila kutumia zana yoyote ionekayo!

Binadamu anauwezo wakujiua mwenywe bila kutumia zana yoyote ionekayo!

Mkuu huyu Yericko ni mwanasiasa tu, anaweka mastori ambayo hawezi kuyatolea ufafanuzi! Anajaribu kuzugazuga kama yupo siasani vile!

Mkuu umekosea, ninakijua nikisimamiacho kuliko ukiaminicho weye!
 
Nimeona hicho kipengele lkn ndio nikauliza anataka kutuambia nini? Maana Sijafahamu kabisa dhumuni la hoja yake!

mkuu,nilivyomuelewa Yericko,ni kwamba binadamu ndiye mungu kwa sababu unapompa title ya muumbaji maana yake nini?hii ni imani ya New Age,kwamba Mungu mkuu anayetawala vyote hayupo zaidi ya binadamu mwenyewe kuwa mungu na umoja wa binadamu wote huleta nguvu kuu sana.Ndio wameijaza dunia na haya mafundisho ya "discovering yourself".Actually ni kweli kuna sehemu ya powers za binadamu hasa spiritual part ambazo kizazi cha leo tumekuwa mbumbumbu sana kuzijua,sasa New age wanakuja na elimu kuhusu nguvu hizi(na mengineyo ni chumvi tu) huku wakipotosha kwa kusema nguvu hizi zinadhihirisha uwezo wa kiungu ulio ndani ya binadamu na huku wakiutukuza uwezo huu kuwa independent ilhali ukweli ni kwamba uwezo huu una mahusiano na Muumba wanayekataa existence yake.Hawa New age wana imani ya meditation wanayodai inawaunganisha na viumbe fulani toka kwenye invisible realm(4th dimension nadhani) ambao wanawaita masters.Wanadai kila mtu ana master anayemwezesha kujitambua na kumsaidia hadi kufikia "uungu" wake,hivyo imani yao inatakiwa kusambazwa ili watu wajenge mahusiano na masters wao kwa ajili ya kukuzwa kiuwezo hadi wafikie uwezo wa "kiungu" ulio ndani yao ambao utawafanya watende lolote watakalo.Ukitazama hapo utaona contradictions nyingi tu za kinadharia ambazo kwa mtu aliyetuliza kichwa ataziona.Hao masters ni nani, wanatoka wapi na nani kawaumba?wanasema binadamu mungu ni lini aliumba dunia na how comes leo hii anashindwa kutumia huo uwezo wake hadi asaidiwe na masters?hizi ndizo zile roho za uchafu zilizofanana na vyura kwenye revelation nadhani!beware!majini yanatafuta namna ya kufit kwenye dunia yetu,waje kuishi nasi kama wenzetu ili watumie intelligence yao kubwa kututawala na kutukusanya kwa vita ile iliyo kuu against the most high,the holy God,the creator,the merciful pale Harmagedon!Haya ni majeshi ya Dajjal!ndio maana nasema lazima tuwe wakali na mafundisho haya.Si ya kukalia kimya.Ndugu zetu wengi wanayabeba haya mazima mazima bila kujua kilicho nyuma ya pazia na kwa vile yanagusia baadhi ya uwezo wa kibinadamu ambao kweli anao,na vile watu walivyo na hamu ya kujitambua,watu wengi sana wanatekwa.So,so,so many!
 
mkuu,nilivyomuelewa Yericko,ni kwamba binadamu ndiye mungu kwa sababu unapompa title ya muumbaji maana yake nini?hii ni imani ya New Age,kwamba Mungu mkuu anayetawala vyote hayupo zaidi ya binadamu mwenyewe kuwa mungu na umoja wa binadamu wote huleta nguvu kuu sana.Ndio wameijaza dunia na haya mafundisho ya "discovering yourself".Actually ni kweli kuna sehemu ya powers za binadamu hasa spiritual part ambazo kizazi cha leo tumekuwa mbumbumbu sana kuzijua,sasa New age wanakuja na elimu kuhusu nguvu hizi(na mengineyo ni chumvi tu) huku wakipotosha kwa kusema nguvu hizi zinadhihirisha uwezo wa kiungu ulio ndani ya binadamu na huku wakiutukuza uwezo huu kuwa independent ilhali ukweli ni kwamba uwezo huu una mahusiano na Muumba wanayekataa existence yake.Hawa New age wana imani ya meditation wanayodai inawaunganisha na viumbe fulani toka kwenye invisible realm(4th dimension nadhani) ambao wanawaita masters.Wanadai kila mtu ana master anayemwezesha kujitambua na kumsaidia hadi kufikia "uungu" wake,hivyo imani yao inatakiwa kusambazwa ili watu wajenge mahusiano na masters wao kwa ajili ya kukuzwa kiuwezo hadi wafikie uwezo wa "kiungu" ulio ndani yao ambao utawafanya watende lolote watakalo.Ukitazama hapo utaona contradictions nyingi tu za kinadharia ambazo kwa mtu aliyetuliza kichwa ataziona.Hao masters ni nani, wanatoka wapi na nani kawaumba?wanasema binadamu mungu ni lini aliumba dunia na how comes leo hii anashindwa kutumia huo uwezo wake hadi asaidiwe na masters?hizi ndizo zile roho za uchafu zilizofanana na vyura kwenye revelation nadhani!beware!majini yanatafuta namna ya kufit kwenye dunia yetu,waje kuishi nasi kama wenzetu ili watumie intelligence yao kubwa kututawala na kutukusanya kwa vita ile iliyo kuu against the most high,the holy God,the creator,the merciful pale Harmagedon!Haya ni majeshi ya Dajjal!ndio maana nasema lazima tuwe wakali na mafundisho haya.Si ya kukalia kimya.Ndugu zetu wengi wanayabeba haya mazima mazima bila kujua kilicho nyuma ya pazia na kwa vile yanagusia baadhi ya uwezo wa kibinadamu ambao kweli anao,na vile watu walivyo na hamu ya kujitambua,watu wengi sana wanatekwa.So,so,so many!


Eti Mkuu Yericko Nyerere hivi ndivyo mtazamo wako uko?

Mkuu juve2012 km ni hivi Basi Huyu ndugu yetu mleta mada atakua kapotea! Sema majibu yake yamekua hayako wazi vile kuweza kujua amekusudia nini! Lkn naelewa shetani anafahamu Muda wake umekwisha sn na ndio Maana anakazana kuleta mafundisho Yake ya ajabu na yote hii ni kutuhadaa sisi wanadamu tujisahau na tuone kingdom yetu iko hapa duniani, ili siku ule mwisho ukifika awe na wafuasi wengi!
 
Last edited by a moderator:
Rafiki yng gombesugu habari za masiku?

Kwa kweli bado mpk Muda huu sina hoja na sijui nianzie wapi ktk bandiko!

Nimebaki nasoma tu!

ndugu yangu nipo,shughuli za hapa kibaruani zimenikinza tu kiduchu!

Huu mnakasha ni kweli...yaani uko very interesting! Nakhis kila mmoja wetu tunajaribu kumsoma huyu Yeriko na mantik au fumbo la hii mada yake!?

lakini kwa jinsi pattern ya majibu yake kwa baadhi ya Wanajamvi...binafsi nakhis labda hafahamu kiundani makusudio ya argument yake!? Au labda hii approach alotumia ndo inamfanza isiwe wepesi kwake ku-articulate more effectively!? Daah!

nafikiri labda tuendelee kuvuta sabra!? Teeeh! Teeeh!

Shukran na nakutakia jioni njema.

Ahsanta.[/QUOTE]


Pamoja Mkuu!
 
Eti Mkuu Yericko Nyerere hivi ndivyo mtazamo wako uko?

Mkuu juve2012 km ni hivi Basi Huyu ndugu yetu mleta mada atakua kapotea! Sema majibu yake yamekua hayako wazi vile kuweza kujua amekusudia nini! Lkn naelewa shetani anafahamu Muda wake umekwisha sn na ndio Maana anakazana kuleta mafundisho Yake ya ajabu na yote hii ni kutuhadaa sisi wanadamu tujisahau na tuone kingdom yetu iko hapa duniani, ili siku ule mwisho ukifika awe na wafuasi wengi!

Kila binadamu anayo nguvu ya sili ya kufanya lolote lisilotarajiwa ktk maisha ya kawaida ya ubinadamu.

Dhana yangu ipo hapo kuwa binadamu huyu anaweza kukiita kifo na kikamtuia, na katika kukazia hoja yangu nasema binadamu ni kiumbe na muumbaji.
 
Last edited by a moderator:
mkuu,nilivyomuelewa Yericko,ni kwamba binadamu ndiye mungu kwa sababu unapompa title ya muumbaji maana yake nini?hii ni imani ya New Age,kwamba Mungu mkuu anayetawala vyote hayupo zaidi ya binadamu mwenyewe kuwa mungu na umoja wa binadamu wote huleta nguvu kuu sana.Ndio wameijaza dunia na haya mafundisho ya "discovering yourself".Actually ni kweli kuna sehemu ya powers za binadamu hasa spiritual part ambazo kizazi cha leo tumekuwa mbumbumbu sana kuzijua,sasa New age wanakuja na elimu kuhusu nguvu hizi(na mengineyo ni chumvi tu) huku wakipotosha kwa kusema nguvu hizi zinadhihirisha uwezo wa kiungu ulio ndani ya binadamu na huku wakiutukuza uwezo huu kuwa independent ilhali ukweli ni kwamba uwezo huu una mahusiano na Muumba wanayekataa existence yake.Hawa New age wana imani ya meditation wanayodai inawaunganisha na viumbe fulani toka kwenye invisible realm(4th dimension nadhani) ambao wanawaita masters.Wanadai kila mtu ana master anayemwezesha kujitambua na kumsaidia hadi kufikia "uungu" wake,hivyo imani yao inatakiwa kusambazwa ili watu wajenge mahusiano na masters wao kwa ajili ya kukuzwa kiuwezo hadi wafikie uwezo wa "kiungu" ulio ndani yao ambao utawafanya watende lolote watakalo.Ukitazama hapo utaona contradictions nyingi tu za kinadharia ambazo kwa mtu aliyetuliza kichwa ataziona.Hao masters ni nani, wanatoka wapi na nani kawaumba?wanasema binadamu mungu ni lini aliumba dunia na how comes leo hii anashindwa kutumia huo uwezo wake hadi asaidiwe na masters?hizi ndizo zile roho za uchafu zilizofanana na vyura kwenye revelation nadhani!beware!majini yanatafuta namna ya kufit kwenye dunia yetu,waje kuishi nasi kama wenzetu ili watumie intelligence yao kubwa kututawala na kutukusanya kwa vita ile iliyo kuu against the most high,the holy God,the creator,the merciful pale Harmagedon!Haya ni majeshi ya Dajjal!ndio maana nasema lazima tuwe wakali na mafundisho haya.Si ya kukalia kimya.Ndugu zetu wengi wanayabeba haya mazima mazima bila kujua kilicho nyuma ya pazia na kwa vile yanagusia baadhi ya uwezo wa kibinadamu ambao kweli anao,na vile watu walivyo na hamu ya kujitambua,watu wengi sana wanatekwa.So,so,so many!

Umenielewa lakini hujanielewa kimantiki, rejea kwenye maandishi yangu ya awali hapo juu, ninayo dhana halisi ninayoiishi, na nimesema uumbaji ni imani/dhana tu lakini binadamu ni kiumbe na muumbaji.
 
Umenielewa lakini hujanielewa kimantiki, rejea kwenye maandishi yangu ya awali hapo juu, ninayo dhana halisi ninayoiishi, na nimesema uumbaji ni imani/dhana tu lakini binadamu ni kiumbe na muumbaji.

ok,tuache hayo mengine.Ngoja nitumie leading question ili kupima kama nimekuelewa.Kwa hiyo mkuu Yericko,binadamu ni muumbaji?je,huo uumbaji ni kila kitu au?does it mean yeye ndiye ameumba yote tunayaonayo duniani including dunia yenyewe au unazungumzia uumbaji in which sense?
 
Kuna kitu umesema hapo.Binadamu ni kiumbe na hapo hapo muumbaji.Sasa binadamu kama kiumbe kaumbwa na nani na kama muumbaji kaumba nini?nimefafanua hayo maswali yangu kwenye post iliyopita.
 
Kuna kitu umesema hapo.Binadamu ni kiumbe na hapo hapo muumbaji.Sasa binadamu kama kiumbe kaumbwa na nani na kama muumbaji kaumba nini?nimefafanua hayo maswali yangu kwenye post iliyopita.

Tunasema kwamba binadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu. Mimi nakataa kumfikiria Mungu aliye fukara, mjinga, mshirikina, mwoga, dhalili, mnafiki nk, ambayo ndiyo hali ya walio wengi kati ya wale aliowaumba kwa mfano wake mwenyewe. Binadamu wenyewe ni waumbaji, hujitengenezea hali zao za maisha, lakini tulivyo hivi sassa tu viumbe, tena si viumbe wa Mungu, bali wa binadamu wanzetu
 
Kila binadamu anayo nguvu ya sili ya kufanya lolote lisilotarajiwa ktk maisha ya kawaida ya ubinadamu.

Dhana yangu ipo hapo kuwa binadamu huyu anaweza kukiita kifo na kikamtuia, na katika kukazia hoja yangu nasema binadamu ni kiumbe na muumbaji.


Mbona hiyo hoja yako ya kutilia mkazo ni nyepesi sn! Na pia ukisema binadamu ni Muumbaji unamaanisha nini?
 
Tunasema kwamba binadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu. Mimi nakataa kumfikiria Mungu aliye fukara, mjinga, mshirikina, mwoga, dhalili, mnafiki nk, ambayo ndiyo hali ya walio wengi kati ya wale aliowaumba kwa mfano wake mwenyewe. Binadamu wenyewe ni waumbaji, hujitengenezea hali zao za maisha, lakini tulivyo hivi sassa tu viumbe, tena si viumbe wa Mungu, bali wa binadamu wanzetu


Kujitengenezea Hali ya maisha ndio uumbaji? Mwanadamu kaumba nini?
 
Tunasema kwamba binadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu. Mimi nakataa kumfikiria Mungu aliye fukara, mjinga, mshirikina, mwoga, dhalili, mnafiki nk, ambayo ndiyo hali ya walio wengi kati ya wale aliowaumba kwa mfano wake mwenyewe. Binadamu wenyewe ni waumbaji, hujitengenezea hali zao za maisha, lakini tulivyo hivi sassa tu viumbe, tena si viumbe wa Mungu, bali wa binadamu wanzetu

ok.falsafa yako nimeielewa.ila jitahidi kurahisisha manake ni wachache watakuelewa
 
ok.falsafa yako nimeielewa.ila jitahidi kurahisisha manake ni wachache watakuelewa

Umekuwa mtu wa kwanza kunielewa katika mjadala huu, nitajitahidi kujitadhimini wapi nimeanguka mpaka wewe ukanielewa,
 
Umekuwa mtu wa kwanza kunielewa katika mjadala huu, nitajitahidi kujitadhimini wapi nimeanguka mpaka wewe ukanielewa,

nilidhani nimekuelewa,nimejitathmini na kugundua bado sijakuelewa.Hebu jibu swali la Ntuzu hapo juu.
 
Last edited by a moderator:
Kujitengenezea Hali ya maisha ndio uumbaji? Mwanadamu kaumba nini?

Binadamu mwenye uwezo wa kuhamisha bahari, uwezo wa kuhamisha milima, kumuumba binadamu mwenziwe, kuita kifo na kuzuia kifo, huo ndio uumbaji wa haki na uweza stahiki,
 
Back
Top Bottom