Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Duuh Tajiri hutaki kutoa hela ya chaiSijui hii comment niliandika nimelewa au laah ,lakin Kuna mwamba kaja inbox kuuliza kama naweza kumpa million 3 na hio comment kuwa ninapesa mpaka zinamwagika imenibidi niisome Tena kwa utulivu ,nimegunduaa wakati naandika hii comment huenda akili zilikuwa zimefyatuka kidogo , mpaka sasa nawaza hivi mim ndio niliandika haya [emoji38]View attachment 2745381
Mwamba amebeep watu wamepiga. Sema yupo real sana, ameamua kusema ukweli.Bangi mbichi mbaya mkuu, unasema una hela hadi zinamwagika huku mfukoni una buku tuππ
Kichekesho zaidi ni aliyemwamini mpaka akamfuata pm ili apate milioni 3.Bangi mbichi mbaya mkuu, unasema una hela hadi zinamwagika huku mfukoni una buku tuππ
πππNimecheka
Kwenye kusema ukweli ametisha, ila kinywaji alichotumia ndiyo kimemuangushaπMwamba amebeep watu wamepiga. Sema yupo real sana, ameamua kusema ukweli.
Mkuu shida isikie tu, alijua kweli jamaa ana hela πKichekesho zaidi ni aliyemwamini mpaka akamfuata pm ili apate milioni 3.
Sijui hii comment niliandika nimelewa au laah ,lakin Kuna mwamba kaja inbox kuuliza kama naweza kumpa million 3 na hio comment kuwa ninapesa mpaka zinamwagika imenibidi niisome Tena kwa utulivu ,nimegunduaa wakati naandika hii comment huenda akili zilikuwa zimefyatuka kidogo , mpaka sasa nawaza hivi mim ndio niliandika haya [emoji38]View attachment 2745381
Mpe hela ya chaiSijui hii comment niliandika nimelewa au laah ,lakin Kuna mwamba kaja inbox kuuliza kama naweza kumpa million 3 na hio comment kuwa ninapesa mpaka zinamwagika imenibidi niisome Tena kwa utulivu ,nimegunduaa wakati naandika hii comment huenda akili zilikuwa zimefyatuka kidogo , mpaka sasa nawaza hivi mim ndio niliandika haya [emoji38]View attachment 2745381
πππ kwamba huna kyokyote au??Sijui hii comment niliandika nimelewa au laah ,lakin Kuna mwamba kaja inbox kuuliza kama naweza kumpa million 3 na hio comment kuwa ninapesa mpaka zinamwagika imenibidi niisome Tena kwa utulivu ,nimegunduaa wakati naandika hii comment huenda akili zilikuwa zimefyatuka kidogo , mpaka sasa nawaza hivi mim ndio niliandika haya [emoji38]View attachment 2745381
Kama mara mbili watu wanakuja PM kuniomba msaada hela ya kula, huwa najiuliza sana ni kwanini wakati huku jukwaani sina uhayaMe yupo amekuja pm ananiomba laki...laki ya nyoko watu tumefulia jf hapa tunachilimuana tu msifikiri tuna hela kihivyoo