Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣We umeshinishindwa kwani,mbona unanihamisha?
Nyie dada zetu lakini kwa ndumba siku hizi ni balaaa.....waganga wanajilia tuu😂😂😂Tulia kijana,yaani kumsalimia Bibi ishakuwa tatizo
Naona mfano wako unakuletea majanga wee mwenyewe🤣🤣🤣🤣 ndio mpambane sasa na muwache wivu watu tujilie waremboEeeeeh hapo Tena maji marefu.
Kama mnataka tumuige jogoo, basi kubalini tumuige kwa vyote. Sio tukipiga kimoja cha sekunde 15,alaf tukalala, muanze kulalamikaJamani ndiyo tunamalizia wikiendi natumai mko poa.
Basi wikiendi ilivyoanza nikaona ni busara kwenda mtembelea bibi huko kijijini kwake Mwanzo Mgumu, nikapokelewa kwa kishindo. Basi bwana, bibi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nilipokuwa napumzika chini ya mwembe nikagundua jambo la kipekee kuhusu jogoo.
Jogoo akiona chakula kiwe kikubwa au kidogo hali hicho chakula, bali anamwita tetea kwa madaha aje ale halafu yeye anasindikizia sindikizia kishkaji. Sasa nyie binadamu mnakwama wapi kuiga mfano? Mmekuwa walalamishi, kila siku humu nyuzi mpya za kulalamika, hamtaki kulisha matetea wenu, mara muwaite ombaomba, mara sijui nini.
Wajameni igeni mfano bora wa jogoo jamani, halafu hana hata kisasi pamoja na tetea kula mwamba ye kidogo tu[emoji106], binadamu sasa!
Jioni njema jamani.
Umepatia.
Uzuri ukimkojoza mwanamke haweezi kukusahau....huyo mrembo anapiga kelele huku tuu, ila usiku tunapelekeana moto.Hiyo unaitwa Ndumba na Ngai......Kama wewe inabidi nimshauri unique flower akutulize maana husikii wewe!
Nljua mood zinachange kama mama mjamzitoNoo!ungealia hata tabia zetu hazifanani kabisa..
Eeh hapo itabidi mkaze kidogo,maana hizo stress za kuachwa pale lango na marangu bila kufika kibo zitatumaliza aiseeKama mnataka tumuige jogoo, basi kubalini tumuige kwa vyote. Sio tukipiga kimoja cha sekunde 15,alaf tukalala, muanze kulalamika
Jogoo nae anayo nature ya kuhonga ili ampate mtetea kwa mfano jogoo anayo punje moja tu ya nafaka mdomoni atatoa sauti ko! ko! ko! ya kumwita mtetea mtetea akishafika jogoo anampa ile nafaka afu mtetea anachakatwa kilaini [emoji16][emoji16]Jamani ndiyo tunamalizia wikiendi natumai mko poa.
Basi wikiendi ilivyoanza nikaona ni busara kwenda mtembelea bibi huko kijijini kwake Mwanzo Mgumu, nikapokelewa kwa kishindo. Basi bwana, bibi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nilipokuwa napumzika chini ya mwembe nikagundua jambo la kipekee kuhusu jogoo.
Jogoo akiona chakula kiwe kikubwa au kidogo hali hicho chakula, bali anamwita tetea kwa madaha aje ale halafu yeye anasindikizia sindikizia kishkaji. Sasa nyie binadamu mnakwama wapi kuiga mfano? Mmekuwa walalamishi, kila siku humu nyuzi mpya za kulalamika, hamtaki kulisha matetea wenu, mara muwaite ombaomba, mara sijui nini.
Wajameni igeni mfano bora wa jogoo jamani, halafu hana hata kisasi pamoja na tetea kula mwamba ye kidogo tu[emoji106], binadamu sasa!
Jioni njema jamani.