Binadamu mnashindwaje hata na jogoo?

Binadamu mnashindwaje hata na jogoo?

Jogoo pamoja na mbwembwe zote hizo za kulisha sijui mitetea, lakini mwisho wa siku anaishia kuliwa...
Koko Wala wenziooo,Koko nawe utaliwa🎵🎵🎼🎼......dunia ngumu sana
 
Nanyi wanawake muige mfano wa kuku na vifaranga wake, anashughilika mwenyewe kuwalisha na jogoo mzalishaji hana habari. Mama kuku anashuhidia jogoo anamfukuza mtetea na wala haulizi wala hana wivu.
Eeeeeh hapo Tena maji marefu.
 
Jamani ndiyo tunamalizia wikiendi natumai mko poa.

Basi wikiendi ilivyoanza nikaona ni busara kwenda mtembelea bibi huko kijijini kwake Mwanzo Mgumu, nikapokelewa kwa kishindo. Basi bwana, bibi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nilipokuwa napumzika chini ya mwembe nikagundua jambo la kipekee kuhusu jogoo.

Jogoo akiona chakula kiwe kikubwa au kidogo hali hicho chakula, bali anamwita tetea kwa madaha aje ale halafu yeye anasindikizia sindikizia kishkaji. Sasa nyie binadamu mnakwama wapi kuiga mfano? Mmekuwa walalamishi, kila siku humu nyuzi mpya za kulalamika, hamtaki kulisha matetea wenu, mara muwaite ombaomba, mara sijui nini.

Wajameni igeni mfano bora wa jogoo jamani, halafu hana hata kisasi pamoja na tetea kula mwamba ye kidogo tu[emoji106], binadamu sasa!

Jioni njema jamani.
Kama mnataka tumuige jogoo, basi kubalini tumuige kwa vyote. Sio tukipiga kimoja cha sekunde 15,alaf tukalala, muanze kulalamika
 
Nyie dada zetu lakini kwa ndumba siku hizi ni balaaa.....waganga wanajilia tuu
Hiyo unaitwa Ndumba na Ngai......Kama wewe inabidi nimshauri unique flower akutulize maana husikii wewe!
 
Kama mnataka tumuige jogoo, basi kubalini tumuige kwa vyote. Sio tukipiga kimoja cha sekunde 15,alaf tukalala, muanze kulalamika
Eeh hapo itabidi mkaze kidogo,maana hizo stress za kuachwa pale lango na marangu bila kufika kibo zitatumaliza aisee
 
Jamani ndiyo tunamalizia wikiendi natumai mko poa.

Basi wikiendi ilivyoanza nikaona ni busara kwenda mtembelea bibi huko kijijini kwake Mwanzo Mgumu, nikapokelewa kwa kishindo. Basi bwana, bibi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nilipokuwa napumzika chini ya mwembe nikagundua jambo la kipekee kuhusu jogoo.

Jogoo akiona chakula kiwe kikubwa au kidogo hali hicho chakula, bali anamwita tetea kwa madaha aje ale halafu yeye anasindikizia sindikizia kishkaji. Sasa nyie binadamu mnakwama wapi kuiga mfano? Mmekuwa walalamishi, kila siku humu nyuzi mpya za kulalamika, hamtaki kulisha matetea wenu, mara muwaite ombaomba, mara sijui nini.

Wajameni igeni mfano bora wa jogoo jamani, halafu hana hata kisasi pamoja na tetea kula mwamba ye kidogo tu[emoji106], binadamu sasa!

Jioni njema jamani.
Jogoo nae anayo nature ya kuhonga ili ampate mtetea kwa mfano jogoo anayo punje moja tu ya nafaka mdomoni atatoa sauti ko! ko! ko! ya kumwita mtetea mtetea akishafika jogoo anampa ile nafaka afu mtetea anachakatwa kilaini [emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom