Mie wapi ata nyie mnapenda lah sivyo tusingekuwa tunawagegeda😂😂😂😂Wewe tenaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie wapi ata nyie mnapenda lah sivyo tusingekuwa tunawagegeda😂😂😂😂Wewe tenaaaa
Sasa umeona eeeh ninachokisema?Sasa binadamu wa siku hizi mbona wataka bure?ndio maana nawauliza mbona wanashindwa na hayawani?sijui wanakwama wapi hataJogoo nae anayo nature ya kuhonga ili ampate mtetea kwa mfano jogoo anayo punje moja tu ya nafaka mdomoni atatoa sauto ko! ko! ko! ya kumwita mtetea mtetea akishafika jogoo anampa ile nafaka afu mtetea anachakatwa kilaini [emoji16][emoji16]
Nyie hamuelewi kitu kimoja. Wanaume sio kwamba hatutaki kuhonga tatizo ni pale mnapoleta story za kwamba tutombeeee mbususu moja. Wee pokea chako wacha na mwanamke mwengine nae apate chake. MsitubaneSasa umeona eeeh ninachokisema?Sasa binadamu wa siku hizi mbona wataka bure?ndio maana nawauliza mbona wanashindwa na hayawani?sijui wanakwama wapi hata
Bure tunapewa zipo ujueSasa umeona eeeh ninachokisema?Sasa binadamu wa siku hizi mbona wataka bure?ndio maana nawauliza mbona wanashindwa na hayawani?sijui wanakwama wapi hata
Kwa hiyo niende mirembe ama? Demi aliniambia kuwa atanitafutia mwanasaikolojia lakini naona kapotea ghafla.Mmh Ila wewe imezidi...uzunguni wanasema wewe Ni sexual maniac au hypersexuality mzee baba una tatizo la kitabibu😁😁
Hatuwezi kuwaacha kuwabana,hapo Sasa so tutakuwa hatuwapendi?tukipenda mioyo yetu kidogo sir tuna wivuNyie hamuelewi kitu kimoja. Wanaume sio kwamba hatutaki kuhonga tatizo ni pale mnapoleta story za kwamba tutombeeee mbususu moja. Wee pokea chako wacha na mwanamke mwengine nae apate chake. Msitubane
Kwanza wacheni uwongo, nyie hampendi. Nyie mnaoaswa kutuheshimu na kututii sie ndio tunapaswa kuwapenda.Hatuwezi kuwaacha kuwabana,hapo Sasa so tutakuwa hatuwapendi?tukipenda mioyo yetu kidogo sir tuna wivu
guard ziko down lazima aliwe kimasiharaKumbe Hilo Ni kosa la kiufundi sio?
Ah wapi mie sio wa kwenda mloganzila....tiba yangu ni rahisi sana.Hakika upelekwa,tunaweza kuanza hata na Mloganzila Kama Milembe mbali
Jogoo mwenyewe analishwa haoni hasaraJamani ndiyo tunamalizia wikiendi natumai mko poa.
Basi wikiendi ilivyoanza nikaona ni busara kwenda mtembelea bibi huko kijijini kwake Mwanzo Mgumu, nikapokelewa kwa kishindo. Basi bwana, bibi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nilipokuwa napumzika chini ya mwembe nikagundua jambo la kipekee kuhusu jogoo.
Jogoo akiona chakula kiwe kikubwa au kidogo hali hicho chakula, bali anamwita tetea kwa madaha aje ale halafu yeye anasindikizia sindikizia kishkaji. Sasa nyie binadamu mnakwama wapi kuiga mfano? Mmekuwa walalamishi, kila siku humu nyuzi mpya za kulalamika, hamtaki kulisha matetea wenu, mara muwaite ombaomba, mara sijui nini.
Wajameni igeni mfano bora wa jogoo jamani, halafu hana hata kisasi pamoja na tetea kula mwamba ye kidogo tu👍, binadamu sasa!
Jioni njema jamani.
[emoji23]