Binadamu mnashindwaje hata na jogoo?

Binadamu mnashindwaje hata na jogoo?

Jogoo nae anayo nature ya kuhonga ili ampate mtetea kwa mfano jogoo anayo punje moja tu ya nafaka mdomoni atatoa sauto ko! ko! ko! ya kumwita mtetea mtetea akishafika jogoo anampa ile nafaka afu mtetea anachakatwa kilaini [emoji16][emoji16]
Sasa umeona eeeh ninachokisema?Sasa binadamu wa siku hizi mbona wataka bure?ndio maana nawauliza mbona wanashindwa na hayawani?sijui wanakwama wapi hata
 
Sasa umeona eeeh ninachokisema?Sasa binadamu wa siku hizi mbona wataka bure?ndio maana nawauliza mbona wanashindwa na hayawani?sijui wanakwama wapi hata
Nyie hamuelewi kitu kimoja. Wanaume sio kwamba hatutaki kuhonga tatizo ni pale mnapoleta story za kwamba tutombeeee mbususu moja. Wee pokea chako wacha na mwanamke mwengine nae apate chake. Msitubane
 
Sasa umeona eeeh ninachokisema?Sasa binadamu wa siku hizi mbona wataka bure?ndio maana nawauliza mbona wanashindwa na hayawani?sijui wanakwama wapi hata
Bure tunapewa zipo ujue
 
Kwa Nini mpewe bure?kwa Nini?inasikitisha sana
Utakuta Joannah una rafik ako nkaja mahala naondoka rafiki yako anaanza kuniulizia...wewe sasa unakuja kuleta habari “Janeth kakuulizia bla bla” ahh! ukisema hivyo Janeth kafa na hapati ela
 
Nyie hamuelewi kitu kimoja. Wanaume sio kwamba hatutaki kuhonga tatizo ni pale mnapoleta story za kwamba tutombeeee mbususu moja. Wee pokea chako wacha na mwanamke mwengine nae apate chake. Msitubane
Hatuwezi kuwaacha kuwabana,hapo Sasa so tutakuwa hatuwapendi?tukipenda mioyo yetu kidogo sir tuna wivu
 
Utakuta Joannah una rafik ako nkaja mahala naondoka rafiki yako anaanza kuniulizia...wewe sasa unakuja kuleta habari “Janeth kakuulizia bla bla” ahh! ukisema hivyo Janeth kafa na hapati ela
Kumbe Hilo Ni kosa la kiufundi sio?
 
Hatuwezi kuwaacha kuwabana,hapo Sasa so tutakuwa hatuwapendi?tukipenda mioyo yetu kidogo sir tuna wivu
Kwanza wacheni uwongo, nyie hampendi. Nyie mnaoaswa kutuheshimu na kututii sie ndio tunapaswa kuwapenda.
Mkitupenda hicho ni kiherehere chenu
 
Jo
Jamani ndiyo tunamalizia wikiendi natumai mko poa.

Basi wikiendi ilivyoanza nikaona ni busara kwenda mtembelea bibi huko kijijini kwake Mwanzo Mgumu, nikapokelewa kwa kishindo. Basi bwana, bibi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nilipokuwa napumzika chini ya mwembe nikagundua jambo la kipekee kuhusu jogoo.

Jogoo akiona chakula kiwe kikubwa au kidogo hali hicho chakula, bali anamwita tetea kwa madaha aje ale halafu yeye anasindikizia sindikizia kishkaji. Sasa nyie binadamu mnakwama wapi kuiga mfano? Mmekuwa walalamishi, kila siku humu nyuzi mpya za kulalamika, hamtaki kulisha matetea wenu, mara muwaite ombaomba, mara sijui nini.

Wajameni igeni mfano bora wa jogoo jamani, halafu hana hata kisasi pamoja na tetea kula mwamba ye kidogo tu👍, binadamu sasa!

Jioni njema jamani.
Jogoo mwenyewe analishwa haoni hasara
 
Back
Top Bottom