Binadamu tunakula chakula kingi kuliko mahitaji ya mwili

Binadamu tunakula chakula kingi kuliko mahitaji ya mwili

Kuna chakula ukimlisha mtu huku kwetu anaweza kuhisi ulikuwa unatania maana sisi wakulima tunakula chakula kinacho tufanya mwili uwe na nguvu
 
Ubaya wa tumbo halisemagi basiiii unavyolizoesha na lenyewe linazoea!kuna jamaa mmoja mchimba mitaro yeye asubuhi anakula chapati 8 jagi la maarage na vikombe mama vi3 vya chai ukiona utajua hali tena mchana.ikifika mchana huwa hali hoteli anaenda nyumbani anajibonda ugali ndoo ndogo ile imejaa!siku unga wa ugali umebaki kilo4 anamwambia mkewe aupikie uji tu maana hawezi kushiba ukirushwa kwenye ugali.hapo dessert zake ni mihogo na karanga mbichi hizo ni mda wote anatafuna.appetize yaani kabla ya lunch ndo anakula wali sahani 3.
Hahahahha huyo ana wenzake mwilini[emoji23] [emoji23] ndoo ndogo ya ugali ahaha saaaaalalee
 
Hapo zamani za kale tuliishi kwa matunda an mizizi. Tulitembea umbali mrefu kutafuta mizizi an matunda haya. Mungu aliuwezesha mwili kuhifadhi chakula kwa njia ya mafuta. Hivyo ukikosa chakula kwa siku mbili au tatu mwili uliweza kutumia akiba kulisha ubongo na kuendeleza uhai.

Maendeleo ya zama za mawe an zama za vyuma yalituwezesha kuwinda na kulima nafaka pamoja an ile mizizi iliyokuwa inatafutwa porini kama mihogo, viazi, majimbi, nk.

Siku hizi vyakula vimekuwa vingi na tunavipata bila kutoka jasho. Ukweli ni kuwa ndizi moja mbivu inatosha kuwa kifungua kinywa. Mchana mayai mawili ya kuchemsha pamoja na nyanya an tango vinatosha kwa mlo wa mchana. Jioni vijiko vinne vya chakula na nusu mug ya maharage inatosha kwa mlo wa kulalia.

Huu no mlo wa wale wasiotumia nguvu nyingi kupata mkate wa kila siku.

Unaamka asubuhi unafungua fridge kuna mkate , mayai, sausage, unamaliza kula unaangalia tamthilia makes kesho kama kawa. Ni kukaribisha obesity
unavyoambiwa mizizi co mizizi unayoina kwenye miti..mizizi maana yake viazi,mihogo nk
sasa unachukulia poa huo msosi.....
et unataka mwanaume ashindie yai na kipande cha tango..hiyo wapelekee wakina kalisa noel
 
Kwasisi wabeba zege hauwezi kutulisha hivyo, bila ya ugali mkubwa, dagaa na mtindi haturiziki.
upload_2018-3-30_13-36-12.png

upload_2018-3-30_13-46-20.png
 

Attachments

  • upload_2018-3-30_13-46-42.png
    upload_2018-3-30_13-46-42.png
    94.8 KB · Views: 30
Ubaya wa tumbo halisemagi basiiii unavyolizoesha na lenyewe linazoea!kuna jamaa mmoja mchimba mitaro yeye asubuhi anakula chapati 8 jagi la maarage na vikombe mama vi3 vya chai ukiona utajua hali tena mchana.ikifika mchana huwa hali hoteli anaenda nyumbani anajibonda ugali ndoo ndogo ile imejaa!siku unga wa ugali umebaki kilo4 anamwambia mkewe aupikie uji tu maana hawezi kushiba ukirushwa kwenye ugali.hapo dessert zake ni mihogo na karanga mbichi hizo ni mda wote anatafuna.appetize yaani kabla ya lunch ndo anakula wali sahani 3.
Kwa lugha ya kawaidi huyu sio "Mwanadamu wa kawaida" na anastahili kufanywa awe kivutio cha watalii wa ndani na nje!
 
Ubaya wa tumbo halisemagi basiiii unavyolizoesha na lenyewe linazoea!kuna jamaa mmoja mchimba mitaro yeye asubuhi anakula chapati 8 jagi la maarage na vikombe mama vi3 vya chai ukiona utajua hali tena mchana.ikifika mchana huwa hali hoteli anaenda nyumbani anajibonda ugali ndoo ndogo ile imejaa!siku unga wa ugali umebaki kilo4 anamwambia mkewe aupikie uji tu maana hawezi kushiba ukirushwa kwenye ugali.hapo dessert zake ni mihogo na karanga mbichi hizo ni mda wote anatafuna.appetize yaani kabla ya lunch ndo anakula wali sahani 3.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nitakuwa wa mwisho kuamini hii stori
 
Ninakaa na dogo tu hapo home. Jion nilitaka tupike robo kilo tu ya mchele ili kuendana na alichosema daktari
mtakodoleana macho kwenye hot pot.

huyu daktari wako wanaanzaga kula huko mitaani vitu vingi akija nyumbani anawaigizia na kula vimayai viwili ukimfata unakufa njaa.
 
mtakodoleana macho kwenye hot pot.

huyu daktari wako wanaanzaga kula huko mitaani vitu vingi akija nyumbani anawaigizia na kula vimayai viwili ukimfata unakufa njaa.
[emoji23][emoji2][emoji23][emoji2][emoji23][emoji2][emoji1][emoji23][emoji2]
sawa daud
 
Umeelezea vyema dada ake ila shida ni kwamba tulio wengi tunaishi kwa kula kwa mazowea pasi kufuata utaratibu wa ulaji umekaa vipi.

Elimu inahitajika sana dada ili ile ya asubuhi supu na chapati, mchana ugali na samaki na usiku ubwabwa na maharage ipate kuisha.
Mmh kwa huo mlo kiduchu aisee nguvu za yale mambo yetu sahau kabisaaa
 
Back
Top Bottom