Binadamu wapya wagundulika sayari ya Jupiter

AF mbona white people tu, akina Mimi wapo kwel au ngoz nyeusi hawez kutotolewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah mkuu umenimalizia 20kb zangu Kwa huu upuuzi.. Poor u
 
Hapa ndo huwa namkumbuka Mr. Ebo

Wazazi ya zamani nadanganya, wazazi ya zamani ilitutenga....na uzushi na maneno mbofumbofu
 
Mbona wametoka kwenye mayai wakiwa na nguo ,

alafu mbona hakuna muafrika ?

Hao wapo zao beach tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…