Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Binadamu tumama pungufu yetu na mapungufu hayo ndiyo yaliyo mzaa wingi na wingi ikamzaa ushauri ushauri aka kaa kwa kila mtu nahapo ndipo ika onekana thamani ya kila mtu
Kwamba ninapo shindwa Mimi kwenye Jambo gumu ambalo kwangu ni gumu ntalazimika kumtafuta mtu mwenye ujuzi wa Hilo Jambo
Kuna wataaramu wa elimu za Giza,Nuru,nyota,alidhi,mimea,umeme,misitu,nk lakini yote haya mungu ameya fanya kwa lengo Moja tu kwamba tutegemeane
Kutegemeana huko ndiyo kula yetu sote
una PhD lakini kiatu Kiki katika utamtafuta Sudi pale kijiweni akushonee umpe Hera aishi
Una degrees lakini ukilogwa utamtafuta
gubi gubi,mshana, au lakshimish, pale akupe tiba au ushauri Maisha Yana songa mbele
Kwa namna hiyo mwisho wasiku kila mmoja anapata mkate.
Niende moja kwa Moja kwenyelengo. Kwamba smaia ni binadamu pia nimama anamapu gufu yake lakini Ana mema yake mengi japo wanasema
UBAYA huvuma kuliko WEMA
Binafsi nimeweka pembeni mabaya yake nikaanza kumchunguza kwa mema yake nikaya ona na haya machache
Na kwasababu Kama kulivyo na haki ya kukosoa Basi Kuna haki ya kupongeza pia
Basi Mimi nikachagua kupongeza kwa haya aliyo yatenda raisi wangu dct Samia
1)kwa kuwaambia polisi wasimkamate mtuhumiwa kabla hawaja pata ushahidi badara yake watafute ushahidi Kwanza ndipo wamkamate aliye kuwa anahisiwa kuwa mtuhumiwa
Lakini kumkamata mtu akasotea jera Kama mahabusu Kisha baadae anaonekana Hana hatia Ana achiwa Tena bila fidia yoyote
she said no🙏🙏🙏
2)nilile swala la kwamba mtu kapata ajari badala apelekwe hospital Kwanza apate huduma ilikuwa lazima ufike polisi upewe pf3 ndipo uende hospital mwisho wa siku watu walifia vituo vya polisi"
she said no🙏🙏🙏
3)Uhuru wa vyombo vya habari hapo nyuma Hali ilikuwa ngumu ilikuwa lazima kusifu na kutukuza
Kinyume na hapo wanaku ROMA au kuku TUNDULISU
Lakini Sasa hivi ruksa SWALA kumshika SIMBA sharubu nasimba Hana shida"
au kukata mauno mbele ya MPEMBA au MMOMBASA Kisha MMOMBASA anakuambia nimeokoka na mpenda yesu nipishe shetani" na maisha yanendelea.
Japo baadhi
wanadiliki mpaka kuutumia vibaya Uhuru huuu lakini akasema no, ruksa kukosoa kwahili pia 🙏🙏🙏
4)uzinduzi wa hatua ya Kwanza ya mladi wa bwawa la nyelele
wengi tulihisi baada ya KIFO Cha jpm hili halita tokea Tena wengi tulihisi upo upande wa mabebelu lakini umelifanya kinyume chake🙏🙏🙏
5)kumbadilisha IGP
hili nalo aliona mbaali tulipata wakati mgumu kumjua Nani alikuwa anahusika na mauwaji na utekaji na mashambulio ya risasi kwa Wana harakati mbali mbali hapa Tanzania
lakini pia wale wasio jurikana
ili Hali jeshi la polisi tunalo
na mkuu aliye kuwepo kipindi hicho hakuwajibika ipasavyo mpaka leo niswali lisilo jibika japo tuna amini aliepo huenda akatu jibu kwahili pia🙏🙏🙏
6)kuruhusu mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa ukiangalia Sasa hivi bunge letu limekosa ladha wanainchi wanamengi ya kuongea akini
hayafiki bungeni
kwani bunge la Sasa nila kikao kiishe nichukue posho makofi mengi sio hoja za msingi kwa taifa letu
Lakini kitendo Cha kuruhusu mikutano hiyo itamsaidia kujua Yale yasiyo fika bungeni
lakini pia kuwajua watendaji wake waovu ndani ya serikari YAKe Kama mawaziri, wabunge,na madiwani, nk
hatimaye kuwa chukulia hatua ziwapasazo kwahili pia🙏🙏🙏
7)kwasababu si habari rasimi Basi sita omba kwa mujibu ila
Nitafurahishwa zaidi Kama utashusha rungu palee NIDA
Raisi amezunguka Sana nje kututaftia fulsa hivyo pia arahisishe Mambo ili tuzitumie hizo fulsa za nje
hivi kwamfano Mimi nataka kwenda Kenya na Sina NIDA Ina wezekana?
Hawajamaa niwapuuzi Sana. wanatuvutia mda Sana. wanajidai Sana. niwajinga Sana Kama nahiri atalifanya Nita shukuru sana🙏🙏🙏
... on you side for now"
Kwamba ninapo shindwa Mimi kwenye Jambo gumu ambalo kwangu ni gumu ntalazimika kumtafuta mtu mwenye ujuzi wa Hilo Jambo
Kuna wataaramu wa elimu za Giza,Nuru,nyota,alidhi,mimea,umeme,misitu,nk lakini yote haya mungu ameya fanya kwa lengo Moja tu kwamba tutegemeane
Kutegemeana huko ndiyo kula yetu sote
una PhD lakini kiatu Kiki katika utamtafuta Sudi pale kijiweni akushonee umpe Hera aishi
Una degrees lakini ukilogwa utamtafuta
gubi gubi,mshana, au lakshimish, pale akupe tiba au ushauri Maisha Yana songa mbele
Kwa namna hiyo mwisho wasiku kila mmoja anapata mkate.
Niende moja kwa Moja kwenyelengo. Kwamba smaia ni binadamu pia nimama anamapu gufu yake lakini Ana mema yake mengi japo wanasema
UBAYA huvuma kuliko WEMA
Binafsi nimeweka pembeni mabaya yake nikaanza kumchunguza kwa mema yake nikaya ona na haya machache
Na kwasababu Kama kulivyo na haki ya kukosoa Basi Kuna haki ya kupongeza pia
Basi Mimi nikachagua kupongeza kwa haya aliyo yatenda raisi wangu dct Samia
1)kwa kuwaambia polisi wasimkamate mtuhumiwa kabla hawaja pata ushahidi badara yake watafute ushahidi Kwanza ndipo wamkamate aliye kuwa anahisiwa kuwa mtuhumiwa
Lakini kumkamata mtu akasotea jera Kama mahabusu Kisha baadae anaonekana Hana hatia Ana achiwa Tena bila fidia yoyote
she said no🙏🙏🙏
2)nilile swala la kwamba mtu kapata ajari badala apelekwe hospital Kwanza apate huduma ilikuwa lazima ufike polisi upewe pf3 ndipo uende hospital mwisho wa siku watu walifia vituo vya polisi"
she said no🙏🙏🙏
3)Uhuru wa vyombo vya habari hapo nyuma Hali ilikuwa ngumu ilikuwa lazima kusifu na kutukuza
Kinyume na hapo wanaku ROMA au kuku TUNDULISU
Lakini Sasa hivi ruksa SWALA kumshika SIMBA sharubu nasimba Hana shida"
au kukata mauno mbele ya MPEMBA au MMOMBASA Kisha MMOMBASA anakuambia nimeokoka na mpenda yesu nipishe shetani" na maisha yanendelea.
Japo baadhi
wanadiliki mpaka kuutumia vibaya Uhuru huuu lakini akasema no, ruksa kukosoa kwahili pia 🙏🙏🙏
4)uzinduzi wa hatua ya Kwanza ya mladi wa bwawa la nyelele
wengi tulihisi baada ya KIFO Cha jpm hili halita tokea Tena wengi tulihisi upo upande wa mabebelu lakini umelifanya kinyume chake🙏🙏🙏
5)kumbadilisha IGP
hili nalo aliona mbaali tulipata wakati mgumu kumjua Nani alikuwa anahusika na mauwaji na utekaji na mashambulio ya risasi kwa Wana harakati mbali mbali hapa Tanzania
lakini pia wale wasio jurikana
ili Hali jeshi la polisi tunalo
na mkuu aliye kuwepo kipindi hicho hakuwajibika ipasavyo mpaka leo niswali lisilo jibika japo tuna amini aliepo huenda akatu jibu kwahili pia🙏🙏🙏
6)kuruhusu mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa ukiangalia Sasa hivi bunge letu limekosa ladha wanainchi wanamengi ya kuongea akini
hayafiki bungeni
kwani bunge la Sasa nila kikao kiishe nichukue posho makofi mengi sio hoja za msingi kwa taifa letu
Lakini kitendo Cha kuruhusu mikutano hiyo itamsaidia kujua Yale yasiyo fika bungeni
lakini pia kuwajua watendaji wake waovu ndani ya serikari YAKe Kama mawaziri, wabunge,na madiwani, nk
hatimaye kuwa chukulia hatua ziwapasazo kwahili pia🙏🙏🙏
7)kwasababu si habari rasimi Basi sita omba kwa mujibu ila
Nitafurahishwa zaidi Kama utashusha rungu palee NIDA
Raisi amezunguka Sana nje kututaftia fulsa hivyo pia arahisishe Mambo ili tuzitumie hizo fulsa za nje
hivi kwamfano Mimi nataka kwenda Kenya na Sina NIDA Ina wezekana?
Hawajamaa niwapuuzi Sana. wanatuvutia mda Sana. wanajidai Sana. niwajinga Sana Kama nahiri atalifanya Nita shukuru sana🙏🙏🙏
... on you side for now"