Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Faida ya kupata sehemu ya bahari, yaani exclusive economic zone(EEZ). Kisheria mile 200 kutoka pwani ya nchi ni eneo la kiuchumi la nchi husika. Hapo inamaana kilomita kama 320 kutoka pwani ya Tanzania bara kuingia bahari ya Hindi ni eneo letu la kiuchumi. Mafuta na uvuvi wa eneo hilo ni wetu peke yetu.
Sasa hakuna tatizo kwa sababu tuneungana, lakini kama tungekuwa hatujaungana, eneo ilipo Zanzibar ingezuia muendelezo wa eneo hili. Umbali wa kutoka Pemba hadi Unguja, kuelekea mashariki baharini Km 320 za eneo la bahari tungepoteza.
Binafsi naona hiyo ndiyo faida ya Muungano kwa Tanganyika, faida kubwa sana.
Sasa hakuna tatizo kwa sababu tuneungana, lakini kama tungekuwa hatujaungana, eneo ilipo Zanzibar ingezuia muendelezo wa eneo hili. Umbali wa kutoka Pemba hadi Unguja, kuelekea mashariki baharini Km 320 za eneo la bahari tungepoteza.
Binafsi naona hiyo ndiyo faida ya Muungano kwa Tanganyika, faida kubwa sana.