Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo kipindi hiki cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu

Funga ina kusudio moja ila kwa sasa show off ni tatizo sana...Hizo futari nyingi ni batili maana wanafuturisha kama kukuza urafiki ,walengwa ni watu maskini kabisa...


Kiufupi wanaopiga klele huko mitandaoni hata dini hawajui ni ule ushabiki maandazi. Hiyo mialiko ilitakiwa pasiwe na camera wala kuchukua video...Msaa ni kimya kimya na pia Mwezi unapoisha iwe ni tamaduni endelevu kuwakumbuka watu maskini.
 
Kufuturu ni kufungua baada ya kufunga!
Sasa kati yetu tunaowaalika makafiri kufuturu pamoja na nyinyi mnapenda kufakamia futari za waislamu wakati hamfungi hivi sisi tunaolika ndio waroho au nyinyi mnaokwenda kula vyakula vya waislamu ndio waroho?!
Sisi tunafunga Ramadhani siku 30 au 29 na tunakula tangu jua likizama na tunaanza kufunga alfajiri ikichomoza!
Nyinyi inasemekana mnafunga siku 40 na mkishafungua jioni hamli tena hadi kesho jioni , HIVI KATI YETU NA NYINYI NI WEPI WANAONUKA MIDOMO!.
Bila shaka NYINYI MNAOFUNGA MUDA MREFU ZAIDI NDIO MNAONUKA MIDOMO!.
 
Acha kujitesa na njaa funga ya mkristo haina malipo
 
Mtoa mada anasumbuliwa na wivu na chuki dhizi ya uthabiti wa waislam juu ya dini yao.

Huu mwezi wa ramadhani ni wa kipekee ipo hivyo ilikua hivyo na itakua hivyo miaka yote hata nyie makafiri mkichukizwa nao.

Baadhi ya wakristo ni wapuuzi sana hivi hata mnatafakari mnayoyaandika kuna muda mpaka unajiuliza mtu kama mtoa mada kama yuko na akili timamu.
 
Mimi najiuliza sasa kama unafunga usiku usiku unaamka kushindilia Ugali ya Nini?

Alafu Unashinda unajisifu Umefunga kweli?

Alafu najiuliza kwa Nini bei za vitu zinapanda kipindi cha mfungo wa ramadhani?

Utagundua wafanyabiashara waligundua kwamba bidhaa za vyakula utumika sana kipindi hicho.

Sasa kama tunafunga kwa Nini jioni misufuria machakula kibao ya Nini kama sio ulafitu. Yaani jioni ukakula na unafidia chai ya Asubui + CHAKULA cha mchana = hakuna funga hapo.

Mtume Alikua mwadilifu sana na Aliweka vizuri sana maana ya funga, unajinyima ili sehemu ya fedha uwasaidie waitaji.
 
Kristo anataka ukifunga ufanye kwa siri
Kafie mbali na kristo wenu?! Unataka na sisi tumfuate kristo ?! Sisi ni waislamu na funga zetu zinafuata misingi mitukufu ya Quran na Sunna za Mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم.
Sisi ni wafuasi watiifu wa mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم.
Na kwetu sisi funga zimegawanyika sehemu mbili.
Kuna funga za FARADHI ( funga za lazima ) ambazo ni kama vile funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani .
Hii ni funga ya lazima kwa kila muislamu isipokuwa watoto, wendawazimu, wagonjwa , wazee walioisha nguvu na wasafiri.
Halafu kuna funga za sunna ( funga za khiyari anayetaka anafunga asiyetaka halazimishwi ) .
Funga hizi zipo mwaka mzima na waislamu wanafunga swaumu hizo kila mmoja kwa nafasi yake na nguvu ya Imani yake.
Waislamu huwa wanafunga funga hizi huku wakiendelea na shughuli zao za kila siku na wagalatia huwa hamjui kuwa wahusika wamefunga kwa sababu hizo ni funga za khiyari hivyo huwa hakuna haja ya wao kujulikana kuwa wamefunga.
Mfano wa funga hizi ni kama vile :
A. Funga ya siku sita baada ya kumaliza mwezi wa ramadhani.
B . Funga ya kila jumatatu na kila alkhamisi.
C. Funga ya siku tati kila mwezi .
Hii huitwa funga ya masiku mweupe ambayo ni kila tarehe 13, 14,na 15 tarehe ya mwezi mwandamo siyo miezi hii ya kirumi.
D. Kuna funga ya siku ya arafa ( tarehe 9 ya mwezi wa 12 wa kiislamu unaojulikana kama Dhul hijja au mfungo TATU.
E. Funga ya siku ya Ashura ambayo ni tarehe 10 ya mwezi wa kwanza wa kiislamu unaojulikana kama Muharramu au mfungo nne.
Kwahiyo waislamu tunafunga mwaka mzima kwa tarehe tafautitafauti na masiku tafautitafauti lakini hatutangazi kwakuwa hizo ni funga za khiyari kwa kila anayetafuta thawabu kwa mwenyezimungu.
Funga hizi anayefunga anapata thawabu na asiyefunga hapati dhambi tafauti na mwezi wa Ramadhani ambao anayefunga anapata thawabu na asiyefunga bila udhuru wa kisheria anapata dhambi.
Kulingana na maelezo yenu KWARESMA KWENU SIYO FUNGA YA LAZIMA KWA WAKRISTO WOTE.
Anayetaka anafunga KWARESMA na asiyaka hafungi na hakuna wa kumuuliza kwanini hafungi.
Sasa msitake kufananisha Ramadhani na kwaresma.
Mwezi wa Ramadhani ni lazima kwa waislamu wote wasiokuwa na dharura za kisheria kufunga siku 30 au 29 kama Allaah alovyoamrisha kufunga pale aliposema katika Suuratul Baqara Aya ya 183 ya kwamba :
"{ يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ كُتِبَ عَلَيۡكُمُ ٱلصِّيَامُ كَمَا كُتِبَ عَلَى ٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِكُمۡ لَعَلَّكُمۡ تَتَّقُونَ }
"Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, ( mumefaradhishiwa kufunga )
kama waliyo andikiwa (walivyofaradhishiwa ) walio kuwa kabla yenu ili mpate kumchamungu.

Na katika Aya ya 185 Allaah akasema:

" { شَهۡرُ رَمَضَانَ ٱلَّذِيٓ أُنزِلَ فِيهِ ٱلۡقُرۡءَانُ هُدٗى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَٰتٖ مِّنَ ٱلۡهُدَىٰ وَٱلۡفُرۡقَانِۚ فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ ٱلشَّهۡرَ فَلۡيَصُمۡهُۖ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوۡ عَلَىٰ سَفَرٖ فَعِدَّةٞ مِّنۡ أَيَّامٍ أُخَرَۗ يُرِيدُ ٱللَّهُ بِكُمُ ٱلۡيُسۡرَ وَلَا يُرِيدُ بِكُمُ ٱلۡعُسۡرَ وَلِتُكۡمِلُواْ ٱلۡعِدَّةَ وَلِتُكَبِّرُواْ ٱللَّهَ عَلَىٰ مَا هَدَىٰكُمۡ وَلَعَلَّكُمۡ تَشۡكُرُونَ }

Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo (ndani yake ) Qur'ani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi. Basi ataye kuwa mjini katika mwezi huu naafunge. Na mwenye kuwa mgonjwa au safarini, basi atimize hisabu katika siku nyengine. Mwenyezi Mungu anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, na mtimize hiyo hisabu, na mumtukuze Mwenyezi Mungu kwa kuwa amekuongoeni ili mpate kushukuru.
 
Huko zenj je
 
Wanabadilisha ratiba tu ya kula eti mtu anajidai kuwa akafunga. Aisee hakuna kirusi kibaya tulipandikiziwa waafrika Kama hizi dini za kuja na mashua
 
Asante sana.sifa na utukufu ni Kwa Mungu.

Tena aliyekwambua sie mwisho kula sa tano usiku kakudanganya, hakuna mkristo anaefunga anakula usiku huo
Tukishafungua sa kumi na mbili wachache wanakula sa mbili kidogo basi mpk kesho tena
Kwa maandiko gani katika Bible mmeamrishwa mfunge hivyo?
 
Je, huu ni uungwana? La hasha,huu si uungwana hata kidogo
 
Mimi naongelea ustaarabu siongelei vitabu vya dini
Dini ndio ilio leta swala la kumfunga Acha kijitia utahira usio zaliwa nao.
Waislam wanafunga sababu wameamrishwa katika Dini yao hawakurupuki tu.
Wewe unafunga kwa andiko lipi
 
Acha uvivu wa kusoma maandiko
We umefunga lakini au ndio mbwembwe tu..?
Funga ni Siri ya mfungaji na MUNGU mwenyewe
 
Asante sana.sifa na utukufu ni Kwa Mungu.

Tena aliyekwambua sie mwisho kula sa tano usiku kakudanganya, hakuna mkristo anaefunga anakula usiku huo
Tukishafungua sa kumi na mbili wachache wanakula sa mbili kidogo basi mpk kesho tena
Barikiwa sana mkuu
 
Na wewe umekuja kuchangia kitu kwenye ujinga huu
 
Huko zenj je
Kwani wewe uko zenji?
Mambo ya zenji waachie wazenji kila nchi ina utaratibu wake, mila na desturi zake. Lakini Mimi ninavyofahamu hata huko zenji wakristo hawakatazwi kula.
Ila muislamu akila hadharani lazima achukuliwe hatua za kinidhamu kwa sababu Moja ya misingi muhimu ya dini yetu ni kuamrisha mema na kukataza mabaya.
Allaah kalieleza hili ndani ya Suurat Aalu Imrani Aya ya 104 pale aliposema:
{ وَلۡتَكُن مِّنكُمۡ أُمَّةٞ يَدۡعُونَ إِلَى ٱلۡخَيۡرِ وَيَأۡمُرُونَ بِٱلۡمَعۡرُوفِ وَيَنۡهَوۡنَ عَنِ ٱلۡمُنكَرِۚ وَأُوْلَٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡمُفۡلِحُونَ }
Na liwepo miongoni mwenu kundi (ambalo) linalingania katika kheri na linaamrisha mema na linakataza mabaya.
Na hao ndio walio fanikiwa.

Na katika sura hiyohiyo aya ya 110 Allaah akasema:

{ كُنتُمۡ خَيۡرَ أُمَّةٍ أُخۡرِجَتۡ لِلنَّاسِ تَأۡمُرُونَ بِٱلۡمَعۡرُوفِ وَتَنۡهَوۡنَ عَنِ ٱلۡمُنكَرِ وَتُؤۡمِنُونَ بِٱللَّهِۗ
Nyinyi mmekuwa umma bora walio tolewa watu, kwa kuwa mnaamrisha mema na mnakataza maovu, na mnamuamini Mwenyezi Mungu.

Na mtume Muhammad
صلى الله عليه وآله وسلم
anasema katika hadithi aliyoipokea Imamu Muslim kutoka kwa swahaba Abuu Sai'yd Al khudry
رضي الله عنه.
Mtume amesema:

" مَنْ رَأَى مِنْكُمْ مُنْكَرًا فَلْيُغَيِّرْهُ بِيَدِهِ، فَإِنْ لَمْ يَسْتَطِعْ فَبِلِسَانِهِ، فَإِنْ لَمْ يَسْتَطِعْ فَبِقَلْبِهِ، وَذَلِكَ أَضْعَفُ الْإِيمَانِ ".
Atakayeona miongoni mwenu jambo ovu na alizuie kwa mkono wake, kama hawezi basi ( alikataze ) kwa ulimi wake , na kama hawezi basi ( alichukie ) kwa moyo wake na huyo ni mdhaifu mno wa imani"

Kwa sababu kufunga Ramadhani ni jambo jema na ni amri ya Allaah
سبحانه وتعالى
Na kula mchana wa Ramadhani bila dharura ya kisheria ni jambo baya la kumuasi Allaah ndio maana mwislamu anayekula mchana wa Ramadhani bila dharura ya kisheria katika jamii ya waislamu wengi humchukulia hatua za kinidhamu!.
 
We ni kichwa maji Sasa huoni hizi ni dini mbili tofauti? Zingekua sawa c ingekua dini Moja
Dini ipi na ipi?Mimi nimezungumzia wakristo,wewe unazungumzia watu wa dini gani nyingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…