Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo kipindi hiki cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu

Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo kipindi hiki cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu

Maandiko yapo mengi mno, haya ni baadhi tu;

Kutoka 8
8 Ndipo Farao akawaita Musa na Haruni na kuwaambia, Mwombeni Bwana, ili awaondoe vyura hawa kwangu mimi na kwa watu wangu; nami nitawapa watu ruhusa waende zao, ili wamtolee Bwana dhabihu.

Zekaria 10
1 Mwombeni Bwana mvua wakati wa masika, naam, Bwana afanyaye umeme, naye atawapa manyunyu ya mvua, kila mtu atapewa nyasi kondeni.

Mathayo 17
21 [Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.]

Mathayo 7
7 Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa;
Kufunga maana yake ni nini?!
Andiko gani linasema mfungue saa 12 za jioni?!
Kumbuka saa 12 jioni kwa mikoa ya Kigoma , Kagera na Rukwa hadi Mbeya na Ruvuma bado ni mchana kabisa, halafu mnasema sisi waislamu ndio walafi wakati nyinyi mnafungua mchana bado jua linawaka?! Ni andiko gani linawaambia mfungue saa 12?! Na ni andiko gani linakataza watu kula usiku ?! Kwani nyinyi Yesu aliwakataza kula DAKU?!
Kama kawakataza tuonyesheni andiko!
 
kila mtu ashinde mechi zake BOSS
We mwenyewe hapo unakubari huu mwenzi wa ramadhani unauona kabisa huu ni mwenzi wa ramadhani 7bu unaona kila MUISLAM anafunga katika kutaka kupata AFYA na MSAMAHA kwa mola wake
ipo hivyo

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
sio kwa hiari , wengi wanafanya kwa hofu , jamaa yang mwez huu anaenda msikitini

Hv mnahis mungu mjinga ? kuwa haoni kuwa mnaigiza
 
Kufunga maana yake ni nini?!
Andiko gani linasema mfungue saa 12 za jioni?!
Kumbuka saa 12 jioni kwa mikoa ya Kigoma , Kagera na Rukwa hadi Mbeya na Ruvuma bado ni mchana kabisa, halafu mnasema sisi waislamu ndio walafi wakati nyinyi mnafungua mchana bado jua linawaka?! Ni andiko gani linawaambia mfungue saa 12?! Na ni andiko gani linakataza watu kula usiku ?! Kwani nyinyi Yesu aliwakataza kula DAKU?!
Kama kawakataza tuonyesheni andiko!
kufunga ni kujitolea kwa muumba na sio kubadili ratiba ya kula
 
Allaah ametuagiza tuwaambieni hivi :
"{ قُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ }

Sema: Enyi makafiri!

{ لَآ أَعۡبُدُ مَا تَعۡبُدُونَ }
Siabudu mnacho kiabudu;

{ وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ }
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.

{ وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٞ مَّا عَبَدتُّمۡ }

Wala sitaabudu mnacho abudu.

{ وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ }
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.

{ لَكُمۡ دِينُكُمۡ وَلِيَ دِينِ }

NYINYI MNA DINI YENU NA MIMI NINA DINI YANGU. .

--mwisho wa kunukuu--

Kwanini mnataka tufanane?!
Nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu!
Nyinyi mna ibada zenu na sisi tuna ibada zetu!
Nyinyi mna sala zenu na sisi tuna swala zetu!
Nyinyi mna zaka na sadaka zenu na sisi tuna zaka na swadaqa zetu!
Nyinyi mna funga zenu na sisi tuna swaumu zetu!
Nyinyi mna hija zenu na sisi tuna hija na Umra zetu!
Msilazimishe tufanane wakati dini zetu ni tafauti na hivyo swala zetu haziwezi kufanana na sala zenu!
Zaka na swadaqa zetu haziwezi fanana na zaka na sadaka zenu!
Swaumu zetu haziwezi fanana na funga zenu?
Hija zetu haziwezi fanana na hija zenu!.
Sisi tunafanya ibada kulingana na tulivyofundishwa na mtume صلى الله عليه وآله وسلم wala hatuigi dini ya mtu yeyote kwa sababu
NYINYI MNA DINI YENU NA SISI TUNA DINI YETU katu! Ibada za kiislamu haziwezi fanana na ibada za dini yoyote nyingine.
Sasa kama mnaona nyinyi ndio mnafunga sawasawa endeleeni hivyohivyo na sisi tunafunga kulingana na tulivyofundishwa na mtume wetu
صلى الله عليه وآله وسلم.
Lakini mwisho nawauliza tena swali ambalo hamtaki kulijibu.
Yesu alifunga siku arobaini usiku na mchana!
Nyinyi ni shetani gani aliwafindisha kufunga mchana na kula usiku?!
Andiko la kuruhusiwa kula usiku mumefundishwa na nani?!
Kwanini mnashindwa kumuiga bwana yesu au imani zenu ni ndogo ?!
kweny quran mafunzo mengi yamekaa kichochez
 
Kinachonifurahisha mwaka huu, mchana tunakula nao wengi tu, na jioni futari inawahi kuisha. Yaani wakati tunakula mchana mjuba anaweka order ya futari jioni
 
Kufunga maana yake ni nini?!
Andiko gani linasema mfungue saa 12 za jioni?!
Kumbuka saa 12 jioni kwa mikoa ya Kigoma , Kagera na Rukwa hadi Mbeya na Ruvuma bado ni mchana kabisa, halafu mnasema sisi waislamu ndio walafi wakati nyinyi mnafungua mchana bado jua linawaka?! Ni andiko gani linawaambia mfungue saa 12?! Na ni andiko gani linakataza watu kula usiku ?! Kwani nyinyi Yesu aliwakataza kula DAKU?!
Kama kawakataza tuonyesheni andiko!
Nafikiri baada ya kujibiwa hili utataka andiko gani linasema tuvae viatu, suti, tule milo mitatu kwa siku...
 
Nafikiri baada ya kujibiwa hili utataka andiko gani linasema tuvae viatu, suti, tule milo mitatu kwa siku...
Hayo hayana uhusiano na ibada!
Na wagalatia haya mmeyataka wenyewe!
Mmekuwa mkianzisha mada za kuwakashifu waislamu kuwa ni waroho ambao badala ya kufunga wanabadili ratiba ya kula na kashfa nyingine nyingi tu!
Sasa jibuni maswali na msilete visingizio!
 
Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo wa madhehebu yote yanayofunga kipindi hiki Cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu.

Sijasikia mkristo yeyote akijisifu utakatifu Kwa kufunga kwake.

Sijaona wakristo wakizuia wengine kula hadharani Wala kuonesha kuchukizwa na Hilo

Sijaona wakristo wakihangaika na vikombe vya uji Wala sahani za magimbi muda wa kufuturu.

Sijasikia wakristo wakipiga kelele alfajiri kwamba wanakula chakula Ili waweze kuvumilia njaa ya mchana kutwa Hadi muda wa kufuturu.

Sijaona vijana wa kikristo wakihangaika kwenda kula chakula kanisani kipindi hiki Cha mfungo wao.

Nimechunguza mengi Kwa wakristo na nimegundua wanafanya mambo Yao kiungwana bila kubugudhi wengine.

Nimeambiwa wakristo wanafunga siku arobaini na mwisho wa kula au kunywa ni saa 5 dakika 59 usiku baada ya hapo mkristo hatakiwi kula Wala kunywa ila wanaruhusiwa kusafisha kinywa Kwa mswaki na maji,na kuoga pia.

Hongera sana wakristo,BWANA wenu awabariki nyote katika mfungo wenu na iweni na kwaresma njema
Waikristu wachache sana wanafungua yani katika kumi basi mmoja anafungana tena kwa mbinde sana
 
Hayo hayana uhusiano na ibada!
Na wagalatia haya mmeyataka wenyewe!
Mmekuwa mkianzisha mada za kuwakashifu waislamu kuwa ni waroho ambao badala ya kufunga wanabadili ratiba ya kula na kashfa nyingine nyingi tu!
Sasa jibuni maswali na msilete visingizio!
Sasa wewe una uchungu na mambo mengine, unaniingiza kwenye eneo ambalo sijasema
 
Back
Top Bottom