Umewaza kama mimi, yaani sina imani kabisa na jeshi la polisi. Hiyo kusema wamekuta maiti kwa waganga wa kienyeji ni kuhadaa umma. Ukweli task force ndio wanaofanya kazi hizo, na hao waliotajwa akina Mafwele nk ndio wahusika. Wanasema ni waganga wa kienyeji, lakini hutaona hao waganga wakifikishwa mahamani kwa kesi za mauaji.