Binafsi sishangai kwa Tundu Lissu kuwa tracked, kinachonisikitisha na kunishangaza ni kwanini alipigwa risasi

Binafsi sishangai kwa Tundu Lissu kuwa tracked, kinachonisikitisha na kunishangaza ni kwanini alipigwa risasi

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Notorious BIG aliwahi sema maneno yenye maana ifuatayo juu ya kifo cha 2pac “Sure we had our hardships, but I would never wish death upon no one. There's no coming back from that.” RIP Biggie and 2 Pac

Hayo maneno haya yamebabe sababu kubwa sana kwanini hutakiwi kuua au kuombea kifo mtu yeyote

Tracking Tundu lissu au Mbowe au Mnyika au Msigwa au mtu yoyote kama Usalama wa nchi wakihisi kuna dalili mbaya Binafsi sioni shida na hili linafanyika Nchi nyingi sana ingawa ni kinyume na sheria

- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka

Tatizo ni kuonekana uhai wa mtu unataka kuchuliwa ndicho kitu ambacho kilinisikitisha sana ingawa inawezekana tunaye muhisi kuwa alihusika na tukio anaweza asiwe mwenyewe.

Kwenye Siasa kila kitu kinawezekana lakini ni vibaya sana kuamua hatima ya uhai wa mtu

Kuna uvumi huwa unasemwa kuwa CIA huwa wanawatrack FBI na kinyume chake ,hivyo hii issue iko kila sehemu kikubwa kuongeza security kwenye taarifa zetu hakuna mtandao wa simu unaweza zuia taarifa zisitoke tukiwa wakweli.​
 
Watu walishafundishwa kuwa kuua si dhambi....ni mwendelezo mpaka sasa...ni kuua tu😭😭😭 Tanzania yetu 😔
 
Notorious BIG aliwahi sema maneno yenye maana ifuatayo juu ya kifo cha 2pac “Sure we had our hardships, but I would never wish death upon no one. There's no coming back from that.” RIP Biggie and 2 Pac

View: https://youtu.be/Rk6Bn3vsAsQ?si=c4td6bg0vMsyAzxW

Hayo maneno haya yamebabe sababu kubwa sana kwanini hutakiwi kuua au kuombea kifo mtu yeyote

Tracking Tundu lissu au Mbowe au Mnyika au Msigwa au mtu yoyote kama Usalama wa nchi wakihisi kuna dalili mbaya Binafsi sioni shida na hili linafanyika Nchi nyingi sana ingawa ni kinyume na sheria

Tatizo ni kuonekana uhai wa mtu unataka kuchuliwa ndicho kitu ambacho kilinisikitisha sana ingawa inawezekana tunaye muhisi kuwa alihusika na tukio anaweza asiwe mwenyewe.

Kwenye Siasa kila kitu kinawezekana lakini ni vibaya sana kuamua hatima ya uhai wa mtu

Kuna uvumi huwa unasemwa kuwa CIA huwa wanawatrack FBI na kinyume chake ,hivyo hii issue iko kila sehemu kikubwa kuongeza security kwenye taarifa zetu hakuna mtandao wa simu unaweza zuia taarifa zisitoke tukiwa wakweli .​

Surah Al-Ma'idah (5:8):

"Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimama imara kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mkiwa mashahidi kwa uadilifu. Wala kuchukiwa na watu kusiwapelekeeni kutokutenda haki. Tendeni haki, huo ndio ucha-Mungu. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu anazo khabari za yale myatendayo."
(Qur'an 5:8)
 
Surah Al-Ma'idah (5:8):

"Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimama imara kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mkiwa mashahidi kwa uadilifu. Wala kuchukiwa na watu kusiwapelekeeni kutokutenda haki. Tendeni haki, huo ndio ucha-Mungu. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu anazo khabari za yale myatendayo."
(Qur'an 5:8)
Usisahau kupita kule international forum jamaa zako wanachapika
 
Surah Al-Ma'idah (5:8):

"Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimama imara kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mkiwa mashahidi kwa uadilifu. Wala kuchukiwa na watu kusiwapelekeeni kutokutenda haki. Tendeni haki, huo ndio ucha-Mungu. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu anazo khabari za yale myatendayo."
(Qur'an 5:8)
Inshallah
 
Back
Top Bottom