Sina Ndugu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2024
- 378
- 604
Ndio zipi hizo mkuu?Unazijua amri za Mungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio zipi hizo mkuu?Unazijua amri za Mungu?
Telemka tukazane chini kwanza tukishakaza tupande tenaWatu walishafundishwa kuwa kuua si dhambi....ni mwendelezo mpaka sasa...ni kuua tu😭😭😭 Tanzania yetu 😔
Kitabu kipi Tena😳🥴Haya mafundisho yanapatikana kitabu gani ?
Njozi zingine zinafariji sana...Kwa upepo unavyovuma meza inaweza kupinduliwa mapema sana
Notorious BIG aliwahi sema maneno yenye maana ifuatayo juu ya kifo cha 2pac “Sure we had our hardships, but I would never wish death upon no one. There's no coming back from that.” RIP Biggie and 2 Pac
Hayo maneno haya yamebabe sababu kubwa sana kwanini hutakiwi kuua au kuombea kifo mtu yeyote
Tracking Tundu lissu au Mbowe au Mnyika au Msigwa au mtu yoyote kama Usalama wa nchi wakihisi kuna dalili mbaya Binafsi sioni shida na hili linafanyika Nchi nyingi sana ingawa ni kinyume na sheria
- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka
Tatizo ni kuonekana uhai wa mtu unataka kuchuliwa ndicho kitu ambacho kilinisikitisha sana ingawa inawezekana tunaye muhisi kuwa alihusika na tukio anaweza asiwe mwenyewe.
Kwenye Siasa kila kitu kinawezekana lakini ni vibaya sana kuamua hatima ya uhai wa mtu
Kuna uvumi huwa unasemwa kuwa CIA huwa wanawatrack FBI na kinyume chake ,hivyo hii issue iko kila sehemu kikubwa kuongeza security kwenye taarifa zetu hakuna mtandao wa simu unaweza zuia taarifa zisitoke tukiwa wakweli.
Ndio nini tenaTelemka tukazane chini kwanza tukishakaza tupande tena
Ficha ujinga wako..sio kweli.
..FBI au CIA hawawezi kumdukua, waka on-track, Donald Trump, au mpinzani wa serikali.
..Ni makosa. Na wakigundulika wamefanya hivyo hatua kali za kisheria kuchukuliwa dhidi yao.
To yeye anajuaNdio nini tena
Saihisha hapo ulipoweka jina la Magufuli (RIP . Aha hizo jaziba, na hizi jaziba zenu ndo zineatesa mpaka sasa kiasi kwamba wanchadema wote mnaonekana kama ni nyumbu. Haya mnayotendewa kwa sasa Shujaa ndiye anayatenda? Jaribu siku moja moja kuwa unatumia Kichwa chako vizuri, usiwe kama Nyumbu anayetumia kichwa chake Oversize kuchotea nyasi mdonomoni tu na si kufukilia .Madikiteita hawataki kupingwa. Magufuli alimuona Lisu kama threat kwa utawala wake. Alichoona kinafaa ni kumuua, na Mungu akaliua leyewe. johnthebaptist
😅🤣Madikiteita hawataki kupingwa. Magufuli alimuona Lisu kama threat kwa utawala wake. Alichoona kinafaa ni kumuua, na Mungu akaliua leyewe. johnthebaptist
Sahihi..sio kweli.
..FBI au CIA hawawezi kumdukua, au kum-track, Donald Trump, au mpinzani wa serikali.
..Ni makosa. Na wakigundulika wamefanya hivyo hatua kali za kisheria huchukuliwa dhidi yao.
Circumstancial evidences ziko overwhelming, tunaenda nazo hizo until proven otherwise.Hatuna majibu ya moja kwa moja katika hili
Biblia yako peke yako bi dada au ?Kitabu kipi Tena😳🥴
Kumpiga mtu risasi ilikuwa ndio Akili.ya Mwisho kabisa ya uwezo wa kufikiri ya waliompiga.Notorious BIG aliwahi sema maneno yenye maana ifuatayo juu ya kifo cha 2pac “Sure we had our hardships, but I would never wish death upon no one. There's no coming back from that.” RIP Biggie and 2 Pac
Hayo maneno haya yamebabe sababu kubwa sana kwanini hutakiwi kuua au kuombea kifo mtu yeyote
Tracking Tundu lissu au Mbowe au Mnyika au Msigwa au mtu yoyote kama Usalama wa nchi wakihisi kuna dalili mbaya Binafsi sioni shida na hili linafanyika Nchi nyingi sana ingawa ni kinyume na sheria
- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka
Tatizo ni kuonekana uhai wa mtu unataka kuchuliwa ndicho kitu ambacho kilinisikitisha sana ingawa inawezekana tunaye muhisi kuwa alihusika na tukio anaweza asiwe mwenyewe.
Kwenye Siasa kila kitu kinawezekana lakini ni vibaya sana kuamua hatima ya uhai wa mtu
Kuna uvumi huwa unasemwa kuwa CIA huwa wanawatrack FBI na kinyume chake ,hivyo hii issue iko kila sehemu kikubwa kuongeza security kwenye taarifa zetu hakuna mtandao wa simu unaweza zuia taarifa zisitoke tukiwa wakweli.
Umeamkaje we mkaka?Biblia yako peke yako bi dada au ?
Uko sahihiKumpiga mtu risasi ilikuwa ndio Akili.ya Mwisho kabisa ya uwezo wa kufikiri ya waliompiga.
Kwenye mahakama wasingefua dafu, kumshitaki kwa jamii ilikuwa ngumu maana hakuna angewaamini.
Lakini pia Hofu ya Lissu kuwa Outspoken.
Niko vizuri sijui wewe mremboUmeamkaje we mkaka?
Hayo maandiko ambayo atakuwa nayo peke yakeTo yeye anajua
Hatuna majibu ya moja kwa moja katika hili