Binafsi sishangai kwa Tundu Lissu kuwa tracked, kinachonisikitisha na kunishangaza ni kwanini alipigwa risasi

Binafsi sishangai kwa Tundu Lissu kuwa tracked, kinachonisikitisha na kunishangaza ni kwanini alipigwa risasi

Notorious BIG aliwahi sema maneno yenye maana ifuatayo juu ya kifo cha 2pac “Sure we had our hardships, but I would never wish death upon no one. There's no coming back from that.” RIP Biggie and 2 Pac

Hayo maneno haya yamebabe sababu kubwa sana kwanini hutakiwi kuua au kuombea kifo mtu yeyote

Tracking Tundu lissu au Mbowe au Mnyika au Msigwa au mtu yoyote kama Usalama wa nchi wakihisi kuna dalili mbaya Binafsi sioni shida na hili linafanyika Nchi nyingi sana ingawa ni kinyume na sheria

- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka

Tatizo ni kuonekana uhai wa mtu unataka kuchuliwa ndicho kitu ambacho kilinisikitisha sana ingawa inawezekana tunaye muhisi kuwa alihusika na tukio anaweza asiwe mwenyewe.

Kwenye Siasa kila kitu kinawezekana lakini ni vibaya sana kuamua hatima ya uhai wa mtu

Kuna uvumi huwa unasemwa kuwa CIA huwa wanawatrack FBI na kinyume chake ,hivyo hii issue iko kila sehemu kikubwa kuongeza security kwenye taarifa zetu hakuna mtandao wa simu unaweza zuia taarifa zisitoke tukiwa wakweli.​

..sio kweli.

..FBI au CIA hawawezi kumdukua, au kum-track, Donald Trump, au mpinzani wa serikali.

..Ni makosa. Na wakigundulika wamefanya hivyo hatua kali za kisheria huchukuliwa dhidi yao.
 
..sio kweli.

..FBI au CIA hawawezi kumdukua, waka on-track, Donald Trump, au mpinzani wa serikali.

..Ni makosa. Na wakigundulika wamefanya hivyo hatua kali za kisheria kuchukuliwa dhidi yao.
Ficha ujinga wako
 
Madikiteita hawataki kupingwa. Magufuli alimuona Lisu kama threat kwa utawala wake. Alichoona kinafaa ni kumuua, na Mungu akaliua leyewe. johnthebaptist
Saihisha hapo ulipoweka jina la Magufuli (RIP . Aha hizo jaziba, na hizi jaziba zenu ndo zineatesa mpaka sasa kiasi kwamba wanchadema wote mnaonekana kama ni nyumbu. Haya mnayotendewa kwa sasa Shujaa ndiye anayatenda? Jaribu siku moja moja kuwa unatumia Kichwa chako vizuri, usiwe kama Nyumbu anayetumia kichwa chake Oversize kuchotea nyasi mdonomoni tu na si kufukilia .
 
..sio kweli.

..FBI au CIA hawawezi kumdukua, au kum-track, Donald Trump, au mpinzani wa serikali.

..Ni makosa. Na wakigundulika wamefanya hivyo hatua kali za kisheria huchukuliwa dhidi yao.
Sahihi
 
Notorious BIG aliwahi sema maneno yenye maana ifuatayo juu ya kifo cha 2pac “Sure we had our hardships, but I would never wish death upon no one. There's no coming back from that.” RIP Biggie and 2 Pac

Hayo maneno haya yamebabe sababu kubwa sana kwanini hutakiwi kuua au kuombea kifo mtu yeyote

Tracking Tundu lissu au Mbowe au Mnyika au Msigwa au mtu yoyote kama Usalama wa nchi wakihisi kuna dalili mbaya Binafsi sioni shida na hili linafanyika Nchi nyingi sana ingawa ni kinyume na sheria

- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka

Tatizo ni kuonekana uhai wa mtu unataka kuchuliwa ndicho kitu ambacho kilinisikitisha sana ingawa inawezekana tunaye muhisi kuwa alihusika na tukio anaweza asiwe mwenyewe.

Kwenye Siasa kila kitu kinawezekana lakini ni vibaya sana kuamua hatima ya uhai wa mtu

Kuna uvumi huwa unasemwa kuwa CIA huwa wanawatrack FBI na kinyume chake ,hivyo hii issue iko kila sehemu kikubwa kuongeza security kwenye taarifa zetu hakuna mtandao wa simu unaweza zuia taarifa zisitoke tukiwa wakweli.​
Kumpiga mtu risasi ilikuwa ndio Akili.ya Mwisho kabisa ya uwezo wa kufikiri ya waliompiga.

Kwenye mahakama wasingefua dafu, kumshitaki kwa jamii ilikuwa ngumu maana hakuna angewaamini.

Lakini pia Hofu ya Lissu kuwa Outspoken.
 
Kumpiga mtu risasi ilikuwa ndio Akili.ya Mwisho kabisa ya uwezo wa kufikiri ya waliompiga.

Kwenye mahakama wasingefua dafu, kumshitaki kwa jamii ilikuwa ngumu maana hakuna angewaamini.

Lakini pia Hofu ya Lissu kuwa Outspoken.
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom