Binafsi sisikilizi nyimbo za wasanii wa kiume wanaojifananisha na wanawake, mnaowasikiliza mna moyo

Binafsi sisikilizi nyimbo za wasanii wa kiume wanaojifananisha na wanawake, mnaowasikiliza mna moyo

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Mimi msanii wa kiume anayevaa hereni, aliyeweka kipini puani na mwenye tabia ambazo hakupaswa kuwa nazo mwanaume huyo siwezi kutazama video yake, siwezi hata kusikiliza nyimbo zake.

Nahisi uchafu na kichefuchefu, ngoja niishie hapa.
 
kuna watu wanachukulia mziki serious sana niwaambie tu mziki ni swala la hisia hakuna mtu anakulazimisha kusikiliza lakini tunajua nyie mnaojidai wachaguzi mkiwa kwenye mapango mmejifungia nmaweka earphone mnasikiliza.

kitu cha hisia huwezi kipinga unaweza sema sisikilizi ili ikipigwa kimoyomoyo unaifurahia
 
Uamuzi mzuri Mkuu.

MAADILI MEMA YANAANZIA KWA MTU MMOJA KUYATAKAA MABAYA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Sawa endelea kumsikiliza dudubaya konki oil chafu huwez kuichafua mamba entertainment "na mwanangu wileee" pigo zako hizo.
 
Back
Top Bottom