Binafsi siwezi kuishi kimapenzi na mademu wanaoandika xax, Xmas,ko, n.k

Binafsi siwezi kuishi kimapenzi na mademu wanaoandika xax, Xmas,ko, n.k

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Mada juu yahusika.
Mimi siwezi kudumu kimapenzi na binti ambaye anaandika vitu vya hovyo mtandaoni.
Mara xax, Xmas, meme, ko n.k
Vifupisho vipo na vinajulikana kwa mujibu wa lugha husika.
Sasa haya mengine yanatoka wapi kama si uhuni?
Mademu waliozoea kuandika hivi ni wale malaya wanaochati na wanaume 4 kwa wakati mmoja.
 
Yeye mwenyewe hana adabu ya maandishi yake halafu anakerekwa na uandishi wa wengine

Ila wanaoandika xaxa,mologolo,mlembo wanakera kinyama
Alafu hao wamejaa sana siku hizi, mi huwa najiuliza huko shuleni wanafundishwa nini? Kama Facebook huko wengi hawawezi kutofautisha r na l.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada juu yahusika.
Mimi siwezi kudumu kimapenzi na binti ambaye anaandika vitu vya hovyo mtandaoni.
Mara xax, Xmas, meme, ko n.k
Vifupisho vipo na vinajulikana kwa mujibu wa lugha husika.
Sasa haya mengine yanatoka wapi kama si uhuni?
Mademu waliozoea kuandika hivi ni wale malaya wanaochati na wanaume 4 kwa wakati mmoja.
Tafuta rika yako braza
 
Alafu hao wamejaa sana siku hizi, mi huwa najiuliza huko shuleni wanafundishwa nini? Kama Facebook huko wengi hawawezi kutofautisha r na l.

Sent using Jamii Forums mobile app

Yani wanakera sana,mimi nikishaona mtu ananitext vifupi fupi ama anachanganya r na l naachana nae

Ulimwengu wa Facebook huwezi kumwambia hii kitu akakuelewa
 
Anyway mimi pia nikishaona mtu analeta hizi habari namkaushia tu😂😂😂😂nshakutana na manzi yupo chuo diploma 😃😃yani ni mikato mikato tu,nikaona wacha nibadili gia angani tu
 
Yeye mwenyewe hana adabu ya maandishi yake halafu anakerekwa na uandishi wa wengine

Ila wanaoandika xaxa,mologolo,mlembo wanakera kinyama
Kuna mlogolo unaijua ilipo..?😂
 
Back
Top Bottom