Binafsi siwezi kuishi kimapenzi na mademu wanaoandika xax, Xmas,ko, n.k

Binafsi siwezi kuishi kimapenzi na mademu wanaoandika xax, Xmas,ko, n.k

Ni ujana kila mmoja anapitia,siku wakiwa Watu wazima wataacha au wewe hukupita katika hatua hiyo?
 
Mwalimu wa shule ya msingi aliniandikia hizo lugha tena wa kiume. Nilivyomhoji akasema ndo lugha ya kisasa. Sasa subiri kizazi kijacho mtaona mengi.
 
Hao unaowaita "mademu" ndio levooooo yako
Endeleeni kuandikiana hivyo.
 
,
JamiiForums-34450835.jpg
 
Back
Top Bottom