prophet_tz
Senior Member
- Feb 14, 2022
- 176
- 302
Binafsi mtu akiandika hivyo vi shortcut au umkute dem Ana changanya harufi L na R stimu zina kata gafla .. haijalishi umriMkuu sio kosa lako, ukiona hivyo ujue umri unakutupa mkono.
Hizo wao kwa sasa ndio swaga zao, kikubwa tafuta wakubwa wenzio achana na hao watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona dem anaandika hivyo juwa unachat na kengeMada juu yahusika.
Mimi siwezi kudumu kimapenzi na binti ambaye anaandika vitu vya hovyo mtandaoni.
Mara xax, Xmas, meme, ko n.k
Vifupisho vipo na vinajulikana kwa mujibu wa lugha husika.
Sasa haya mengine yanatoka wapi kama si uhuni?
Mademu waliozoea kuandika hivi ni wale malaya wanaochati na wanaume 4 kwa wakati mmoja.
Mbulahati, Alusha, Tabola, Ilinga, halusi, kungulu hahahaYeye mwenyewe hana adabu ya maandishi yake halafu anakerekwa na uandishi wa wengine
Ila wanaoandika xaxa,mologolo,mlembo wanakera kinyama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe mkongwe hata kuigiza huweziii...xasa wao wanaandika xaxaKo umeamuaje xasa?
Laha yake afurahi xaxa hahaKo xaxa unaona laha kuwaxema xio?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi bado mko facebook?Yani wanakera sana,mimi nikishaona mtu ananitext vifupi fupi ama anachanganya r na l naachana nae
Ulimwengu wa Facebook huwezi kumwambia hii kitu akakuelewa
Walewale mkuu..hawajui tofauti ya himaya na imaya*hivyo.
😅😅😅😅Laha yake afurahi xaxa haha
🤣🤣🤣wallahii dadekiBalidi la mologolo zuli xana adi unaisi laha[emoji28][emoji28]
Wanakera balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wallahii dadeki
Lol, umemchoma na kitu chenye ncha kali [emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu sio kosa lako, ukiona hivyo ujue umri unakutupa mkono.
Hizo wao kwa sasa ndio swaga zao, kikubwa tafuta wakubwa wenzio achana na hao watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1]Lol, umemchoma na kitu chenye ncha kali [emoji23][emoji23][emoji23]
nmekxoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe mkongwe hata kuigiza huweziii...xasa wao wanaandika xaxa
Kwann xaxa?Ila kiukweli inakera,,mi huwa sijibu message kabisa
Axante kwa kunixomanmekxoma