Aiseee nliamuaa kukaaa kimya leo nisome comments tu ila hii HAPANA kwa kweli πππππππππππChukua ndoo au madumu uanze kupiga ngoma...maana unafosi ghetto lako liwe na kelele Kama la kwangu
Ww hausumbuliwi na upweke unasumbuliwa na upwiru pamoja na low self-esteemWeekend ndio inaendelea hivyo nimetoka job.
Gheto liko, kimya. Hakuna hata mwanamke wa kuongea nae.
Hali ya upweke inanijia..
Nashika simu, upande wa contacts hakuna hata jina la kike nipige.
nahisi mimi na mtatizo.
Mkuu washa sabufer weka enjoy ya jux na diamond weka saut kubwa itaondoa ilo wazo0749 924945
Usiwe na pupa nenda taratibu, kuwa muungwana utapata mke bora kabisa
Hahahahah na wew pm inakuzinguaaaHapo nimesahau aisee, pm nayo inagoma. Basi chukua fasta ili nifute
Wazo lipi?Mkuu washa sabufer weka enjoy ya jux na diamond weka saut kubwa itaondoa ilo wazo
Ndiyo, wakati natumia app ilikua sawa. Ila toka wafanye sijui kubadilisha app kuwa browser, basi na pm nayo haipo sawaHahahahah na wew pm inakuzinguaaa
Unahitaji psychological counselor hii sio joke mzee unajiweka kwenye hatari kubwa ya ugonjwa wa akiliMImi ma-ex wangu wote kusema kweli ni upwiru tuu ulikaba ndio nikawa nao.
Nje ya hapo sikuwa na intimacy relation nao.
Wengi nimeachana nao maana naona kama nawaonea.
Kuna Upweke na Ukiwa...
Hizi hali ni ngumu sana
Kumbe kama mm tu mkuu daah nilimwambia mh. max melo akanicheki pm, text ake naiona lakini kureply inasema connectingNdiyo, wakati natumia app ilikua sawa. Ila toka wafanye sijui kubadilisha app kuwa browser, basi na pm nayo haipo sawa
Hata hivyo sinaga kazi nayo
njoo tucheze game kidogo
View attachment 3054417
hapana natumia pcUnacheza ps au
Hivyo hivyo, kuna mod ananitumiaga sana msg za mikwara, sasa hivi itakula kwakeKumbe kama mm tu mkuu daah nilimwambia mh. max melo akanicheki pm, text ake naiona lakini kureply inasema connecting
Ahaaa sawa mkuu huwa nalipenda sana hilo mortal kombat daahhapana natumia pc
Upweke, upwiru, yote ni majibu.Ww hausumbuliwi na upweke unasumbuliwa na upwiru pamoja na low self-esteem
Cha msingi jitie nguvu acha kuogopa wadada jipatie mmoja maisha yaende
Tofaut na hapo unamkaribisha magonjwa ya akili
Sawa, Best WishesInategemeana.
Khaa Savage.Xxxxxx xxxxxx
Usiwe na pupa nenda taratibu, kuwa muungwana utapata mke bora kabisa