Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wew mjanja jf tu mkuu😂😂😂😂Kaka mimi yani mpaka sometimes unatoka kuzurura kama bata alafu usiombe kuwa na crush nyumba ya pili ila ukijiangalia fedha zinakutosha wewe pia sio mtu wa matupio unaona bora huu upweke wangu japo sometimes ni jau sana
Hahaah yani sina chochote nje ya JF zaidi ya mawazo kwamba nitaoa kweli maana walisema mke mzuri ni yule ambaye mmejuana mda ukijiangalia unajiona kabisa hapo sifit 20+ hyo huna demu ma ex wenyewe ndio ni half ex yani shida ukitamani mapenz hisia zinapanda ukifika kuwaza jinsi wanavyopenda ela na ukiwa single mda wote unawaza kuwa muaminifu basi pozi linakata unaingia telegram tu kutumbua macho show za wenzioKumbe wew mjanja jf tu mkuu😂😂😂😂
Daaah sio poa mkuu umejaribu kutembea tembea town kuangaza angaza macho labd utapata pa kugandaHahaah yani sina chochote nje ya JF zaidi ya mawazo kwamba nitaoa kweli maana walisema mke mzuri ni yule ambaye mmejuana mda ukijiangalia unajiona kabisa hapo sifit 20+ hyo huna demu ma ex wenyewe ndio ni half ex yani shida ukitamani mapenz hisia zinapanda ukifika kuwaza jinsi wanavyopenda ela na ukiwa single mda wote unawaza kuwa muaminifu basi pozi linakata unaingia telegram tu kutumbua macho show za wenzio
Ila una muda wa kuingia JF na kutuchora au sio?Sina muda.
ratiba yangu iko full occupied.
Huyo mkuu anatupiga chaiIla una muda wa kuingia JF na kutuchora au sio?
Most of time nipo kazini so nisipokuwa kazini ni getto na hua nimechoka tayari kuzurura inakuwa ishu nyingineDaaah sio poa mkuu umejaribu kutembea tembea town kuangaza angaza macho labd utapata pa kuganda
Kazini hawapoooo?Most of time nipo kazini so nisipokuwa kazini ni getto na hua nimechoka tayari kuzurura inakuwa ishu nyingine
Ukihichanganya ukapita na pisi ya boss gheto utahamishia kwa wazazi wakoKazini hawapoooo?
Upweke sio upwiru unaweza ukawa na upwiru ila usiwe mpweke na unaweza ukawa mpweke usiwe na upwiruUpweke, upwiru, yote ni majibu.
toka 2017, ninaishi pekee yangu.
Lazima hivo vitu vinipate
Kwamba bosi kaoccupy kila pis duuhUkihichanganya ukapita na pisi ya boss gheto utahamishia kwa wazazi wako
Bado mdogo jitulizeMimi ni >20<30
Mmmmh we acha tu, asiyejua maana hawezi kuambiwa maanaHuku kwenye ndoa kwenyewe kila mtu kashika simu yake....hatuongeleshani Kama unavuodhani[emoji3]
Unataka ajistukieee mzee na hana familiaaaaBado mdogo jitulize
Kaz kwelikweliBaada ya kuachna.