Aloooh ogopa hyo hali mkuu mm piah upweke huwa unanisumbua sana hasa nikishaingia ghetto natamani hata ningekuwa na mdada wakunijali hta kwa kunitembelea tu ,nlkuwa na manzi ila tumeznguana.
Kuna demu nlmuona kanisani tena nkasema ikimpendeza Mungu nataka aje kuwa wife kbs ,nmepambana hadi nkapata mawasiliano yake na tungeweka appointment tukakutana mtoto kaniruka mita 100 ,ooh honestly let's just be friends naomba tuwe tu marafk wa kawaida aseeh nljua utani ila hadi leo bdo amekazia tuwe marafk tu na mbaya zaid hata kwenye huu urafki mm tu ndio nampgia Simu na hataki tuonane bas inanboa ndio nazd kuwa mpweke, feeling like am lost.
Mwanza nlkuwa naiona tamu mno ila huu upweke na kuzinguliwa na huyo manzi aktaka tuwe friends to naanza kuhisi uzto kuwa Mwanza.