Binafsi upweke unatesa kinoma

Kumbe wew mjanja jf tu mkuušŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
Hahaah yani sina chochote nje ya JF zaidi ya mawazo kwamba nitaoa kweli maana walisema mke mzuri ni yule ambaye mmejuana mda ukijiangalia unajiona kabisa hapo sifit 20+ hyo huna demu ma ex wenyewe ndio ni half ex yani shida ukitamani mapenz hisia zinapanda ukifika kuwaza jinsi wanavyopenda ela na ukiwa single mda wote unawaza kuwa muaminifu basi pozi linakata unaingia telegram tu kutumbua macho show za wenzio
 
Daaah sio poa mkuu umejaribu kutembea tembea town kuangaza angaza macho labd utapata pa kuganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…