Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku kwenye ndoa kwenyewe kila mtu kashika simu yake....hatuongeleshani Kama unavuodhani😀Weekend ndio inaendelea hivyo nimetoka job...
Hauna hata ex wakujiegeshea? Au hata K hujawahi tafuna!Mimi ni >20<30
Ya kuhusu nini ?nahisi mimi na mtatizo.
Hakuna kwamba huna namba zao au zipo ila huoni wa kumpigia? Na pia kampani cio lazima wanawake tu!.Weekend ndio inaendelea hivyo nimetoka job.
Gheto liko, kimya. Hakuna hata mwanamke wa kuongea nae...
Basi endelea kutumikia adhabu yako,,, AmenMImi ma-ex wangu wote kusema kweli ni upwiru tuu ulikaba ndio nikawa nao.
Nje ya hapo sikuwa na intimacy relation nao.
Wengi nimeachana nao maana naona kama nawaonea.
Watafute wakusamehe wenyeweNisamehewe plz.