Binamu yangu ana matatizo? Baada ya kusoma mwaka wa kwanza chuoni akiwa kwangu nimemwacha huru aishi gheto lakini nasikia hakuna binti kawahi kuvusha

Binamu yangu ana matatizo? Baada ya kusoma mwaka wa kwanza chuoni akiwa kwangu nimemwacha huru aishi gheto lakini nasikia hakuna binti kawahi kuvusha

MIMI MWENYEWE NA GETTO NA SIJAWAHI VUSHA KWAIYO UNASEMAJE
 
Mimi ningeuliza direct Kona za Nini, huu ndio umbea Sasa
 
Unafanya mchezo na K ya msomi? Na akizubaa atatoka miaka mitatu bilabila.
 
img_4_1715114353759.jpg
 
Age 22, mtoto wa kiume au wa kike ni ngumu sana kujua kama anagongana, wengi tulikua kimya katika umri huo, Wengi wanakua kwenye mahusiano ya sio lazma kila siku tugongane. Alafu kingine bro, Hizo excile za. Kila siku ulifanya chuo gani wewe.
Maana kuna siku za RB, unakosa hata hisia.
Ila swala la kuingiza binti ndani is very private at that age.
Lastly acha kumfatilia dogo maswala ya kula mbupe, Man up, brother.(Usifatilie haata Mwanaume mwenzako, tabia ya hovyo sana hiyo).
Well said mkuu
 
Back
Top Bottom