Binamu yangu anapenda kukaa utupu kila akiniona, sijui kwanini?

Binamu yangu anapenda kukaa utupu kila akiniona, sijui kwanini?

Kuna mwehu mmoja huko anaandaa uzi wa kutushuhudia jinsi shangazi yake anavyokaa uchu kila akimuona.
 
Binamu ni ndugu yako. Pisha watu nyumbani kwao. Umekwenda kutembea zaidi ya mwezi haurid kwenu!
 
Anakuonea huruma kulala sebuleni wa kwanza kuamka na wa mwisho kulala
 
Umemfuata binamu yako chumbani kwake na bafuni ukamkuta yuko uchi. Halafu unasema akikuona anapenda kukaa uchi! Binadamu wengine basi tu...
Mimi ni kijana ninaeishi na kufanya kazi Dodoma, mwezi desemba nilienda kumtembelea binamu yangu wa kike ambae alieolewa Dar es salaam, anaishi maeneo ya Ukonga.
 
Kijana huna kazi? Kwa nini unazurura zurura humu nchini? Nikuambie kabisa serikali tunampango wa kufufua mapori yote kuwa schemes za agriculture, wewe na wa aina yako will be subjected as cheap laborers, being intensively exploited and raped during working hours , get prepared, amani iwe nawe.
 
Unakaa Kwa binamu yako unatafutiwa sababu ..gusa unate..wakufukuze kiulainiii...maana inaonekana huna mbele Wala nyuma ..mjini apa...watu wanaish kimkakati..na huo mtego trust me huchomoi...ukijiloga tuuu umekwenda
 
Mimi ni kijana ninaeishi na kufanya kazi Dodoma, mwezi Desemba nilienda kumtembelea binamu yangu wa kike ambae alieolewa Dar es salaam, anaishi maeneo ya Ukonga.

Kuna matukio yanayotokea na kunishangaza, sasa chumba anacholala binamu yangu na mme wake vinapakana na choo na bafu kama mara tatu hivi wakati naenda bafuni kuoga nilimkuta binamu yangu kaacha mlango wazi huku yuko uchi nikageuka haraka nikarudi nilikotoka.

Mara ya pili binamu yangu alikua ametoka chooni, sasa mimi nilikua naenda kuoga nikamwona bwana akiwa uchi, mara ya tatu tena alikua uchi chumbani huku ameacha mlango wazi cha kushangaza alipogundua hakuhangaika kujisitiri aliendelea na mambo yake, nilipogeuka kumkwepa ndio nikasikia samahani huku yupo very relaxed hata hashtuki mpaka nimeanza kuhisi kuna kitu anatafuta kwangu.

Sijui nifanye nini wadau, msaada tafadhali.
Wewe pita ukanye kinachokufanya ugeuze shingo hadi umwone chumbani kwake ni nini kama sio umbea.na anakufanyia makusudi ili uumoe vizuri kwa umbea wako
 
kesho nenda daraja la mfugale kapige picha, keshokutwa nenda beach kapige picha pia... ukimaliza rudi mkoani, dar es salaam huna hata miez sita unataka kumla binamu yako?
 
Back
Top Bottom