Binamu yangu anapenda kukaa utupu kila akiniona, sijui kwanini?

Binamu yangu anapenda kukaa utupu kila akiniona, sijui kwanini?

Wewe umemfuata mtu kwake, kwenye nyumba yake halafu unasema anakaa uchi, kwenye nyumba za watu wenyewe huwa wanarelax sasa wewe unataka wajibane wakiwa kwao, wewe ndo unatakiwa kuona aibu na uondoke urudi kijijini
Mimi ni kijana ninaeishi na kufanya kazi Dodoma, mwezi Desemba nilienda kumtembelea binamu yangu wa kike ambae alieolewa Dar es salaam, anaishi maeneo ya Ukonga.

Kuna matukio yanayotokea na kunishangaza, sasa chumba anacholala binamu yangu na mme wake vinapakana na choo na bafu kama mara tatu hivi wakati naenda bafuni kuoga nilimkuta binamu yangu kaacha mlango wazi huku yuko uchi nikageuka haraka nikarudi nilikotoka.

Mara ya pili binamu yangu alikua ametoka chooni, sasa mimi nilikua naenda kuoga nikamwona bwana akiwa uchi, mara ya tatu tena alikua uchi chumbani huku ameacha mlango wazi cha kushangaza alipogundua hakuhangaika kujisitiri aliendelea na mambo yake, nilipogeuka kumkwepa ndio nikasikia samahani huku yupo very relaxed hata hashtuki mpaka nimeanza kuhisi kuna kitu anatafuta kwangu.

Sijui nifanye nini wadau, msaada tafadhali.
 
Weka picha ya binamu akiwa kajiachia.

Vipi hana petroli ndani?
 
Nilishaachaga kwenda kwa ndugu, na hata nikienda kutakua na jambo muhim sana(mgonjwa ama msiba).
Na silali kwa ndugu hata siku moja.

Nimeachaga kushiriki harusi na takataka zingine zote, uoe wewe nichange mimi na bado unishindishe ukumbuni.

Mkuu hapo hutakiwi unafukuzwa ki utu uzima.
 
Mleta mada ukija next time njoo na KY mm ni mume wa binamu yako,ukija tena lazima nikukule wewe kavukavu.
Sio mtu mzuri kabisa.
 
Mkuu yaani unaoneshwa mbunye halafu hujui cha kufanya ?
Na wewe toa mkuyenge tembea auone hapo ndo utajua kusudi lake la kukuonesha mbususu.
 
Back
Top Bottom