44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,158
- 2,186
Aibu ya Jana inadhihirisha kuwa lig yetu imeshuka kiwanga na pia inatawaliwa na rushwa,kitendo Cha waamuz wetu kupewa hongo ili waipe Yanga ushindi ndio kimefanya watanzania tuzalilike hapo Jana. Maana haiwezekan bingwa halali apgwe na Tim ndogo namna hyo!!!
NDUGu WADAU Wa Soka la Tanzania Rushwa imetawala kwenye waamz wetu na ndo imepelekea kutupatia bingwa FEKI!! Nin maon yako ili tuboreshe Soka letu!! Karibun
NDUGu WADAU Wa Soka la Tanzania Rushwa imetawala kwenye waamz wetu na ndo imepelekea kutupatia bingwa FEKI!! Nin maon yako ili tuboreshe Soka letu!! Karibun