Bingwa wa mchongo wa NBC Tanzania azalilishwa akiwa nyumban na Tim ndogo sana

Bingwa wa mchongo wa NBC Tanzania azalilishwa akiwa nyumban na Tim ndogo sana

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Aibu ya Jana inadhihirisha kuwa lig yetu imeshuka kiwanga na pia inatawaliwa na rushwa,kitendo Cha waamuz wetu kupewa hongo ili waipe Yanga ushindi ndio kimefanya watanzania tuzalilike hapo Jana. Maana haiwezekan bingwa halali apgwe na Tim ndogo namna hyo!!!
NDUGu WADAU Wa Soka la Tanzania Rushwa imetawala kwenye waamz wetu na ndo imepelekea kutupatia bingwa FEKI!! Nin maon yako ili tuboreshe Soka letu!! Karibun
 
Aibu ya Jana inadhihirisha kuwa lig yetu imeshuka kiwanga na pia inatawaliwa na rushwa,kitendo Cha waamuz wetu kupewa hongo ili waipe Yanga ushindi ndio kimefanya watanzania tuzalilike hapo Jana. Maana haiwezekan bingwa halali apgwe na Tim ndogo namna hyo!!!
NDUGu WADAU Wa Soka la Tanzania Rushwa imetawala kwenye waamz wetu na ndo imepelekea kutupatia bingwa FEKI!! Nin maon yako ili tuboreshe Soka letu!! Karibun
Karibun WADAU mtoe ushaur tuboreshe Soka letu
 
rushwa,kitendo Cha waamuz wetu kupewa hongo ili waipe Yanga ushindi ndio kimefanya watanzania tuzalilike hapo Jana.
Kwa maneno haya ndo unataka ujadili kuboresha soka? Punguza ushabiki kifuu ukitaka kua serious kujadili maendeleo ya mpira, otherwise Simba day njema.
 
Aibu ya Jana inadhihirisha kuwa lig yetu imeshuka kiwanga na pia inatawaliwa na rushwa,kitendo Cha waamuz wetu kupewa hongo ili waipe Yanga ushindi ndio kimefanya watanzania tuzalilike hapo Jana. Maana haiwezekan bingwa halali apgwe na Tim ndogo namna hyo!!!
NDUGu WADAU Wa Soka la Tanzania Rushwa imetawala kwenye waamz wetu na ndo imepelekea kutupatia bingwa FEKI!! Nin maon yako ili tuboreshe Soka letu!! Karibun
Tafuta matahira wenzako wenye akili za kushikiwa Kama zako mjadili uharo wako huo🚮🚮🐄🐄🐄
 
Kusanya wajinga wenzio mtoleane ushauri, wengine hatuwezi umbea.
Acha hasira ndugu! Hiv ubora wa log yetu unawezaje kusema umepanda Kama bingwa wetu anafungwa na Tim ndogo namna hyo??toa hoja,acha ushabik ndugu
 
Kwa maneno haya ndo unataka ujadili kuboresha soka? Punguza ushabiki kifuu ukitaka kua serious kujadili maendeleo ya mpira, otherwise Simba day njema.
Wewe una maon gan mkuu??
 
Acha hasira ndugu! Hiv ubora wa log yetu unawezaje kusema umepanda Kama bingwa wetu anafungwa na Tim ndogo namna hyo??toa hoja,acha ushabik ndugu
Mimi siyo shabiki wa Yanga. Najulikana humu kwa misimamo yangu dhidi ya wapuuzi kama wewe. Mnaleta tuhuma za kijinga ambazo hamna uwezo wa kuzithibitisha na Mods wanawaona tu. Mwaka Jana Manara aliposema Simba wanaweka dawa za kulevya kwenye vyumba vya timu ngeni nilianzisha Uzi hapa kuhimiza watu wakatae ujinga wake. Leo na wewe unaanzisha ujinga huo huo. Yaani kwa ubora wa timu ulivyokuwa msimu uliopita ni Zuzu tu anayeweza kukubaliana na huu upuuzi wako.
 
Screenshot_20220807-133315.jpg
 
Mimi siyo shabiki wa Yanga. Najulikana humu kwa misimamo yangu dhidi ya wapuuzi kama wewe. Mnaleta tuhuma za kijinga ambazo hamna uwezo wa kuzithibitisha na Mods wanawaona tu. Mwaka Jana Manara aliposema Simba wanaweka dawa za kulevya kwenye vyumba vya timu ngeni nilianzisha Uzi hapa kuhimiza watu wakatae ujinga wake. Leo na wewe unaanzisha ujinga huo huo. Yaani kwa ubora wa timu ulivyokuwa msimu uliopita ni Zuzu tu anayeweza kukubaliana na huu upuuzi wako.
Bila Shaka wew na bangi Ni samaki na maji
 
Mimi siyo shabiki wa Yanga. Najulikana humu kwa misimamo yangu dhidi ya wapuuzi kama wewe. Mnaleta tuhuma za kijinga ambazo hamna uwezo wa kuzithibitisha na Mods wanawaona tu. Mwaka Jana Manara aliposema Simba wanaweka dawa za kulevya kwenye vyumba vya timu ngeni nilianzisha Uzi hapa kuhimiza watu wakatae ujinga wake. Leo na wewe unaanzisha ujinga huo huo. Yaani kwa ubora wa timu ulivyokuwa msimu uliopita ni Zuzu tu anayeweza kukubaliana na huu upuuzi wako.
Mech ngap ambazo Yanga ameshnda kwa kusaidiwa??? Mech nying Sana Yanga ameshnda kwa kufoji penat na anapewa!!!
 
Aibu ya Jana inadhihirisha kuwa lig yetu imeshuka kiwanga na pia inatawaliwa na rushwa,kitendo Cha waamuz wetu kupewa hongo ili waipe Yanga ushindi ndio kimefanya watanzania tuzalilike hapo Jana. Maana haiwezekan bingwa halali apgwe na Tim ndogo namna hyo!!!
NDUGu WADAU Wa Soka la Tanzania Rushwa imetawala kwenye waamz wetu na ndo imepelekea kutupatia bingwa FEKI!! Nin maon yako ili tuboreshe Soka letu!! Karibun
Vipers ni timu ndogo? Ligi wa Uganda unaweza kufananisha na ligi ya magumashi ya Tanzania pole sana
 
Vipers ni timu ndogo? Ligi wa Uganda unaweza kufananisha na ligi ya magumashi ya Tanzania pole sana
mtoa Mada katoa wazo zuri Sema katumia lugha ya kitoto sana kitu kinacho fanya hoja yake isionekane yenye mashiko (muandiko wa darasa la saba B sentensi hazina ilabu mwishoni 😂😂😂) back to the point nakupinga kitu kimoja ligi yetu Ina thamani kuliko ligi ya Uganda kutoka na mafaniko tuliyo yapata misimu 4 kweny CAF champion (simba SC) imetufanya tuwe na timu nyingi pia zinazo pewa nafasi kushiriki lakini ukija kwenye viwango vya FIFA Uganda kama nchi yupo juu Zaidi yetu lakini ligi Yao ya ndani tunaizidi naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom