Bingwa wa mchongo wa NBC Tanzania azalilishwa akiwa nyumban na Tim ndogo sana

Bingwa wa mchongo wa NBC Tanzania azalilishwa akiwa nyumban na Tim ndogo sana

mtoa Mada katoa wazo zuri Sema katumia lugha ya kitoto sana kitu kinacho fanya hoja yake isionekane yenye mashiko (muandiko wa darasa la saba B sentensi hazina ilabu mwishoni [emoji23][emoji23][emoji23]) back to the point nakupinga kitu kimoja ligi yetu Ina thamani kuliko ligi ya Uganda kutoka na mafaniko tuliyo yapata misimu 4 kweny CAF champion (simba SC) imetufanya tuwe na timu nyingi pia zinazo pewa nafasi kushiriki lakini ukija kwenye viwango vya FIFA Uganda kama nchi yupo juu Zaidi yetu lakini ligi Yao ya ndani tunaizidi naomba kuwasilisha
Upo sawa, tatizo mtoa mada katumia lugha mbovu
 
Aibu ya Jana inadhihirisha kuwa lig yetu imeshuka kiwanga na pia inatawaliwa na rushwa,kitendo Cha waamuz wetu kupewa hongo ili waipe Yanga ushindi ndio kimefanya watanzania tuzalilike hapo Jana. Maana haiwezekan bingwa halali apgwe na Tim ndogo namna hyo!!!
NDUGu WADAU Wa Soka la Tanzania Rushwa imetawala kwenye waamz wetu na ndo imepelekea kutupatia bingwa FEKI!! Nin maon yako ili tuboreshe Soka letu!! Karibun
Ni kweli hata kagera sugar, prison, mtibwa walikuwa wanawapa marefa rushwa... Ndo maana kolo alishindwa kuchukua ubingwa
 
mtoa Mada katoa wazo zuri Sema katumia lugha ya kitoto sana kitu kinacho fanya hoja yake isionekane yenye mashiko (muandiko wa darasa la saba B sentensi hazina ilabu mwishoni 😂😂😂) back to the point nakupinga kitu kimoja ligi yetu Ina thamani kuliko ligi ya Uganda kutoka na mafaniko tuliyo yapata misimu 4 kweny CAF champion (simba SC) imetufanya tuwe na timu nyingi pia zinazo pewa nafasi kushiriki lakini ukija kwenye viwango vya FIFA Uganda kama nchi yupo juu Zaidi yetu lakini ligi Yao ya ndani tunaizidi naomba kuwasilisha
Kama lig yetu Ni Bora kuliko ya Uganda Ni nin hasa kimechangia bingwa wetu kuweza kufungwa na wachezaje Tena wa majaribio wa kilabu ya Vipers???
 
Kama lig yetu Ni Bora kuliko ya Uganda Ni nin hasa kimechangia bingwa wetu kuweza kufungwa na wachezaje Tena wa majaribio wa kilabu ya Vipers???
Simba washa ifunga Al Ahly unataka kusema ligi yetu ni bora kuliko Egypt au Al Ahly ni mabingwa wa mchongo?
 
Simba washa ifunga Al Ahly unataka kusema ligi yetu ni bora kuliko Egypt au Al Ahly ni mabingwa wa mchongo?
Simba pind inawafunga hao ilikuwa ugenin au hapa Bongo?? Maana kinachotutia hasra Zaid Ni Yanga kufungwa akiwa nyumban!!
 
Aibu ya Jana inadhihirisha kuwa lig yetu imeshuka kiwanga na pia inatawaliwa na rushwa,kitendo Cha waamuz wetu kupewa hongo ili waipe Yanga ushindi ndio kimefanya watanzania tuzalilike hapo Jana. Maana haiwezekan bingwa halali apgwe na Tim ndogo namna hyo!!!
NDUGu WADAU Wa Soka la Tanzania Rushwa imetawala kwenye waamz wetu na ndo imepelekea kutupatia bingwa FEKI!! Nin maon yako ili tuboreshe Soka letu!! Karibun
Mzee mbona unatukana wakunga ungali mjamzito? Vuka mto kwanza ndio ukashfu mamba. Duh!
 
Tatizo la Yanga linaanzia kwenye ule mwiko! Sehemu walipouweka si sahihi kabisa, wangeutoa wauweke hata kichwani
 
Aibu ya Jana inadhihirisha kuwa lig yetu imeshuka kiwanga na pia inatawaliwa na rushwa,kitendo Cha waamuz wetu kupewa hongo ili waipe Yanga ushindi ndio kimefanya watanzania tuzalilike hapo Jana. Maana haiwezekan bingwa halali apgwe na Tim ndogo namna hyo!!!
NDUGu WADAU Wa Soka la Tanzania Rushwa imetawala kwenye waamz wetu na ndo imepelekea kutupatia bingwa FEKI!! Nin maon yako ili tuboreshe Soka letu!! Karibun
viper timu ndogo?
 
Yanga ubingwa ulikuwa haki yao sbb simba tulikuwa dhaifu sana msimu ulio isha,
 
Back
Top Bottom