Bingwa wa Nchi hii Simba Sc ina jambo lake leo mchana wa saa 8

Bingwa wa Nchi hii Simba Sc ina jambo lake leo mchana wa saa 8

Utopolo fc na miaka yao miwili wanasemaje?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
This is properganda for Young African team Leaders.
Wanatudanganya wana mkataba nae wa miaka 2.
Sasa iweje leo asainiMikia.
 
Viongozi wetu wametufanyia upumbavu View attachment 1530931
hakuna kitu kinauma kama kupigwa goli 4 kifigisufigisu za kuhonga baadhi ya wachezaji na kuchukuliwa mchezaji wetu special.
Yanga tumenyanyaswa sana msimu huu, viongozi acheni ugoigoi haswa mwenyekiti tafuteni wawekezaji, mpira ni pesa, angalia sasa hizi dharau na kejeli upande wa pili[emoji23][emoji58][emoji58]
 
hakuna kitu kinauma kama kupigwa goli 4 kifigisufigisu za kuhonga baadhi ya wachezaji na kuchukuliwa mchezaji wetu special.
Yanga tumenyanyaswa sana msimu huu, viongozi acheni ugoigoi haswa mwenyekiti tafuteni wawekezaji, mpira ni pesa, angalia sasa hizi dharau na kejeli upande wa pili[emoji23][emoji58][emoji58]
Ha ha vilaza nyie nani awahonge hilo team libovu ili awafunge nne. Tumieni akili hata kidogo basi. Niletee takwimu ya team mliyo ifunga hata goli nne halafu let a za Simba tulizofunga gori nne. Mmekua wajinga mpaka huruma.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
We jamaa...ukubali ukatae huu ni upumbavu Morrison likua haitajiki pale Msimbazi ndani na nje ya uwanja hapa viongozi wamechemka zaidi naona ni kuwakomoa yanga ila ni UPUMBAVU.
We ni mzee kilomoni nini?!?!
 
Mbona mlisajiri Hassan Kessi akiwa kwenye Mkataba na Simba.
Au anaruhusiwa Yanga tu.
Suala sio kumsajili ana mkataba ama la. Suala ANASAJILIWAJE Simba mchezaji mhuni kama Morrison? Au kwakuwa kafanya Yanga basis akija Simba atakuwa tofauti? Uliishawahi kusikia Shetani kabadilika kuwa Malaika?
 
Yote ongeeni ila mimi wachezaji wanao niuma ni Ajibu,Gadiel na Kakolanya.
Wanapata pesa sawa lakini vipaji vina enda kuisha kabisa maana wanacheza dk kadhaa tu.
 
Mlikuwa munasema acheze namba ya nani sasa leo kaja.
 
Suala sio kumsajili ana mkataba ama la. Suala ANASAJILIWAJE Simba mchezaji mhuni kama Morrison? Au kwakuwa kafanya Yanga basis akija Simba atakuwa tofauti? Uliishawahi kusikia Shetani kabadilika kuwa Malaika?
alishindwa kubadilika South ligi kubwa maslahi makubwa ilakuwa bongo?
 
hakuna kitu kinauma kama kupigwa goli 4 kifigisufigisu za kuhonga baadhi ya wachezaji na kuchukuliwa mchezaji wetu special.
Yanga tumenyanyaswa sana msimu huu, viongozi acheni ugoigoi haswa mwenyekiti tafuteni wawekezaji, mpira ni pesa, angalia sasa hizi dharau na kejeli upande wa pili[emoji23][emoji58][emoji58]
Nani ahonge timu mbovu mmeacha wachezaji kibao kudhiilisha ubovu wa timu yenu
 
Back
Top Bottom