king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,178
- 2,033
Bayern Katoka kupigwa 5 - 0 halafu anajifanya kuwaamini sana.Ukiongelea hivo inamaana hao Liverpool na Bayern wana 100% ya ushindi katika ligi zao mpaka sasa?
Ina maana Liverpool na Bayern wao hawapati shida kushinda mechi ?
Punguza ushabiki anza kuangalia mpira kivingine.Msimu ulopita mliongea mengi lakini mwisho mliaibika hivihivi.
Acha ushabiki,Moja ya timu Bora msimu huu ni Chelsea , nawaona wakicheza fainali tena wako vizuri idara zoooote!!!!Chelsea maji kupwa, maji kujaa bado hawajanishawishi. Ni moja ya timu iliyokuwa kwenye kundi jepesi mno lakini pamoja na kuwa katika kundi jepesi, unaona mechi dhidi ya zenit anavyopata tabu kupata ushindi. Unaona mechi ya marudiano dhidi ya kibonde Malmo mnavyopata ushindi mwembamba. Jana imemfunga Juventus iliyobakia jina tu haina ubora wowote na ndio maana kwenye ligi wanashika nafasi ya nane.
Unaumwa wewe.Man City bingwa
Mwisho wa siku kikubwa ni ushindi uwe umepata tabu au hujapata tabuChelsea maji kupwa, maji kujaa bado hawajanishawishi. Ni moja ya timu iliyokuwa kwenye kundi jepesi mno lakini pamoja na kuwa katika kundi jepesi, unaona mechi dhidi ya zenit anavyopata tabu kupata ushindi. Unaona mechi ya marudiano dhidi ya kibonde Malmo mnavyopata ushindi mwembamba. Jana imemfunga Juventus iliyobakia jina tu haina ubora wowote na ndio maana kwenye ligi wanashika nafasi ya nane.
Maji kupwa na maji kujaa anaongoza epl anaongoza kundi UEFA ni bingwa mtetezi wa UEFA sijui kichwa chako unatumia kufanyia niniChelsea maji kupwa, maji kujaa bado hawajanishawishi. Ni moja ya timu iliyokuwa kwenye kundi jepesi mno lakini pamoja na kuwa katika kundi jepesi, unaona mechi dhidi ya zenit anavyopata tabu kupata ushindi. Unaona mechi ya marudiano dhidi ya kibonde Malmo mnavyopata ushindi mwembamba. Jana imemfunga Juventus iliyobakia jina tu haina ubora wowote na ndio maana kwenye ligi wanashika nafasi ya nane.
Soma vizuri anachoongelea jamaaUkiongelea hivo inamaana hao Liverpool na Bayern wana 100% ya ushindi katika ligi zao mpaka sasa?
Ina maana Liverpool na Bayern wao hawapati shida kushinda mechi ?
Punguza ushabiki anza kuangalia mpira kivingine.Msimu ulopita mliongea mengi lakini mwisho mliaibika hivihivi.
Kwani Chelsea alivyochukua ,EPL alikuwa nafasi gani? Au Liverpool 2005 EPL alishika nafasi ya ngapi?Ukiongelea hivo inamaana hao Liverpool na Bayern wana 100% ya ushindi katika ligi zao mpaka sasa?
Ina maana Liverpool na Bayern wao hawapati shida kushinda mechi ?
Punguza ushabiki anza kuangalia mpira kivingine.Msimu ulopita mliongea mengi lakini mwisho mliaibika hivihivi.
Timu gani inayotaka kukutana na cty au Liverpool?Inafika hatua hata sisi mashabiki wa Chelsea tunaiogopa timu yetu.
Naamini Kwasasa hakuna timu kubwa inayotaka kucheza na Chelsea.