Bingwa wa UEFA msimu huu anaweza kuwa Liverpool au Bayern Munchen

Bingwa wa UEFA msimu huu anaweza kuwa Liverpool au Bayern Munchen

Ukiongelea hivo inamaana hao Liverpool na Bayern wana 100% ya ushindi katika ligi zao mpaka sasa?

Ina maana Liverpool na Bayern wao hawapati shida kushinda mechi ?

Punguza ushabiki anza kuangalia mpira kivingine.Msimu ulopita mliongea mengi lakini mwisho mliaibika hivihivi.
Bayern Katoka kupigwa 5 - 0 halafu anajifanya kuwaamini sana.
 
Chelsea maji kupwa, maji kujaa bado hawajanishawishi. Ni moja ya timu iliyokuwa kwenye kundi jepesi mno lakini pamoja na kuwa katika kundi jepesi, unaona mechi dhidi ya zenit anavyopata tabu kupata ushindi. Unaona mechi ya marudiano dhidi ya kibonde Malmo mnavyopata ushindi mwembamba. Jana imemfunga Juventus iliyobakia jina tu haina ubora wowote na ndio maana kwenye ligi wanashika nafasi ya nane.
Acha ushabiki,Moja ya timu Bora msimu huu ni Chelsea , nawaona wakicheza fainali tena wako vizuri idara zoooote!!!!
 
Aisee hivi kumbe bado kuna watu mpaka leo hii teyari wameshamjua bingwa ni nani tena kupitia group stage mapema yote hii 😆
 
Chelsea maji kupwa, maji kujaa bado hawajanishawishi. Ni moja ya timu iliyokuwa kwenye kundi jepesi mno lakini pamoja na kuwa katika kundi jepesi, unaona mechi dhidi ya zenit anavyopata tabu kupata ushindi. Unaona mechi ya marudiano dhidi ya kibonde Malmo mnavyopata ushindi mwembamba. Jana imemfunga Juventus iliyobakia jina tu haina ubora wowote na ndio maana kwenye ligi wanashika nafasi ya nane.
Mwisho wa siku kikubwa ni ushindi uwe umepata tabu au hujapata tabu
 
Chelsea maji kupwa, maji kujaa bado hawajanishawishi. Ni moja ya timu iliyokuwa kwenye kundi jepesi mno lakini pamoja na kuwa katika kundi jepesi, unaona mechi dhidi ya zenit anavyopata tabu kupata ushindi. Unaona mechi ya marudiano dhidi ya kibonde Malmo mnavyopata ushindi mwembamba. Jana imemfunga Juventus iliyobakia jina tu haina ubora wowote na ndio maana kwenye ligi wanashika nafasi ya nane.
Maji kupwa na maji kujaa anaongoza epl anaongoza kundi UEFA ni bingwa mtetezi wa UEFA sijui kichwa chako unatumia kufanyia nini
 
Its all City / Liverpool/ Chelsea, hizi ndio timu bora kwa sasa, positional play is not well implemented by Nagelsmann, Bayern namtoa kwenye ubingwa.
 
Inafika hatua hata sisi mashabiki wa Chelsea tunaiogopa timu yetu.

Naamini Kwasasa hakuna timu kubwa inayotaka kucheza na Chelsea.
 
Ukiongelea hivo inamaana hao Liverpool na Bayern wana 100% ya ushindi katika ligi zao mpaka sasa?

Ina maana Liverpool na Bayern wao hawapati shida kushinda mechi ?

Punguza ushabiki anza kuangalia mpira kivingine.Msimu ulopita mliongea mengi lakini mwisho mliaibika hivihivi.
Soma vizuri anachoongelea jamaa
 
Ukiongelea hivo inamaana hao Liverpool na Bayern wana 100% ya ushindi katika ligi zao mpaka sasa?

Ina maana Liverpool na Bayern wao hawapati shida kushinda mechi ?

Punguza ushabiki anza kuangalia mpira kivingine.Msimu ulopita mliongea mengi lakini mwisho mliaibika hivihivi.
Kwani Chelsea alivyochukua ,EPL alikuwa nafasi gani? Au Liverpool 2005 EPL alishika nafasi ya ngapi?
 
Back
Top Bottom