Binti afanyiwa uonevu na anyimwa haki ya kuitwa kwenye usaili

Binti afanyiwa uonevu na anyimwa haki ya kuitwa kwenye usaili

felakuti

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
659
Reaction score
1,207
Ni jambo la ajabu lakini la kweli.
Mojawapo ya tangazo lililowekwa katika tovuti ya ajira portal na mara zote kabla hujaweza ku apply system inakuambia ama kukukumbusha uhakikishe ume attach barua ya maombi ya kazi.

Binti huyu alikua na sifa zote kama kazi ilivotaka na pia system ilimuwezesha kuomba hio kazi, sababu sifa anazo, na zaidi profile ama wasifu wake amejaza taarifa kwa usahihi kabisa na kuambatanisha viambata vyote muhimu,

Cha ajabu tarehe na ratiba ikatolewa ya usaili kwenye tovuti,ila ajabu kwenye application yake kaandikiwa hajawa shortlisted sababu haja attach transcript ya chuo kikuu( in which kipo). Na kama tume ya ajira ingetaka kujiridhisha kuangalia academic transcript ya mtahiniwa huyu walishindwa nini ku view profile yake na kuiangalia?

Je huu sio uonevu na kunyimwa haki ya kufanyiwa usaili kwa wazi kabisa ? Au ndio njia ya kuwasafishia wengine njia ya kupata ajira kiulaini?

Mana ni kama waliangalia kila namna watafute sababu wakakosa na wakaamua kupachika sababu hio isiyo na mashiko
 
Ni jambo la ajabu lakini la kweli.
Mojawapo ya tangazo lililowekwa katika tovuti ya ajira portal na mara zote kabla hujaweza ku apply system inakuambia ama kukukumbusha uhakikishe ume attach barua ya maombi ya kazi.

Binti huyu alikua na sifa zote kama kazi ilivotaka na pia system ilimuwezesha kuomba hio kazi, sababu sifa anazo, na zaidi profile ama wasifu wake amejaza taarifa kwa usahihi kabisa na kuambatanisha viambata vyote muhimu,

Cha ajabu tarehe na ratiba ikatolewa ya usaili kwenye tovuti,ila ajabu kwenye application yake kaandikiwa hajawa shortlisted sababu haja attach transcript ya chuo kikuu( in which kipo). Na kama tume ya ajira ingetaka kujiridhisha kuangalia academic transcript ya mtahiniwa huyu walishindwa nini ku view profile yake na kuiangalia?

Je huu sio uonevu na kunyimwa haki ya kufanyiwa usaili kwa wazi kabisa ? Au ndio njia ya kuwasafishia wengine njia ya kupata ajira kiulaini?

Mana ni kama waliangalia kila namna watafute sababu wakakosa na wakaamua kupachika sababu hio isiyo na mashiko
Usaili tu unaanzisha Uzi JF?

Mara nyingi watu waliokosa kuitwa kwenye interview huwa Kuna makosa kwenye akaunti zao


Kama yametokea makosa avunge aombe post zikitoka tena

Ila kutoitwa Interview ni normal sana kwenye mfumo wa ajira portal
 
Nikipata hela naenda kuoa Moshiiiiii.
images.jpeg
 
Usaili tu unaanzisha Uzi JF?

Mara nyingi watu waliokosa kuitwa kwenye interview huwa Kuna makosa kwenye akaunti zao


Kama yametokea makosa avunge aombe post zikitoka tena

Ila kutoitwa Interview ni normal sana kwenye mfumo wa ajira portal
Mkuu umesoma thread vizuri?

Kwako yaweza kua jambo dogo sababu pengine una ajira tayar au hauna shida yoyote, je vipi kuhusu huyu ambaye hana? Na zaid tume ya ajira ipo wazi kila kitu kipo wazi, profile yako unaijaza mwenyewe kwa kufata muongozo unaotolewa, ajira ikitangazwa kama haukidhi vigezo kwa namna yoyote ile system inakukataa kabisa huwez ku apply hio kazi. Na zaidi usipoitwa unapewa sababu kwenye application status, sababu imeandikwa mtahiniwa haja attach academic transcript, na ilihali kwenye profile ipo na kuhusu attachment unapoomba kazi tume ya ajira hairuhusu chochote zaidi ya barua yako ya kuomba kazi husika ikiwa imesainiwa.

Unaniambia kuna makosa. Kwanini mtu mwenye sifa ya kuitwa usaili asiitwe? Jehuyu ni mmoja, ni wangap watoto wa masikini pengine ndio wanamuangalia kua atakuja kua mkombozi wa familia, wanafanyiwa uonevu huu ?
 
Ni jambo la ajabu lakini la kweli.
Mojawapo ya tangazo lililowekwa katika tovuti ya ajira portal na mara zote kabla hujaweza ku apply system inakuambia ama kukukumbusha uhakikishe ume attach barua ya maombi ya kazi.

Binti huyu alikua na sifa zote kama kazi ilivotaka na pia system ilimuwezesha kuomba hio kazi, sababu sifa anazo, na zaidi profile ama wasifu wake amejaza taarifa kwa usahihi kabisa na kuambatanisha viambata vyote muhimu,

Cha ajabu tarehe na ratiba ikatolewa ya usaili kwenye tovuti,ila ajabu kwenye application yake kaandikiwa hajawa shortlisted sababu haja attach transcript ya chuo kikuu( in which kipo). Na kama tume ya ajira ingetaka kujiridhisha kuangalia academic transcript ya mtahiniwa huyu walishindwa nini ku view profile yake na kuiangalia?

Je huu sio uonevu na kunyimwa haki ya kufanyiwa usaili kwa wazi kabisa ? Au ndio njia ya kuwasafishia wengine njia ya kupata ajira kiulaini?

Mana ni kama waliangalia kila namna watafute sababu wakakosa na wakaamua kupachika sababu hio isiyo na mashiko
fanya mawasiliano haraka, atawekwa, bado hajachelewa.
 
Ni jambo la ajabu lakini la kweli.
Mojawapo ya tangazo lililowekwa katika tovuti ya ajira portal na mara zote kabla hujaweza ku apply system inakuambia ama kukukumbusha uhakikishe ume attach barua ya maombi ya kazi.

Binti huyu alikua na sifa zote kama kazi ilivotaka na pia system ilimuwezesha kuomba hio kazi, sababu sifa anazo, na zaidi profile ama wasifu wake amejaza taarifa kwa usahihi kabisa na kuambatanisha viambata vyote muhimu,

Cha ajabu tarehe na ratiba ikatolewa ya usaili kwenye tovuti,ila ajabu kwenye application yake kaandikiwa hajawa shortlisted sababu haja attach transcript ya chuo kikuu( in which kipo). Na kama tume ya ajira ingetaka kujiridhisha kuangalia academic transcript ya mtahiniwa huyu walishindwa nini ku view profile yake na kuiangalia?

Je huu sio uonevu na kunyimwa haki ya kufanyiwa usaili kwa wazi kabisa ? Au ndio njia ya kuwasafishia wengine njia ya kupata ajira kiulaini?

Mana ni kama waliangalia kila namna watafute sababu wakakosa na wakaamua kupachika sababu hio isiyo na mashiko
Kama cheti kipo hapo akomae kuwapigia simu ili wamweke kweny majina ya nyongeza.
 
Mkuu umesoma thread vizuri?

Kwako yaweza kua jambo dogo sababu pengine una ajira tayar au hauna shida yoyote, je vipi kuhusu huyu ambaye hana? Na zaid tume ya ajira ipo wazi kila kitu kipo wazi, profile yako unaijaza mwenyewe kwa kufata muongozo unaotolewa, ajira ikitangazwa kama haukidhi vigezo kwa namna yoyote ile system inakukataa kabisa huwez ku apply hio kazi. Na zaidi usipoitwa unapewa sababu kwenye application status, sababu imeandikwa mtahiniwa haja attach academic transcript, na ilihali kwenye profile ipo na kuhusu attachment unapoomba kazi tume ya ajira hairuhusu chochote zaidi ya barua yako ya kuomba kazi husika ikiwa imesainiwa.

Unaniambia kuna makosa. Kwanini mtu mwenye sifa ya kuitwa usaili asiitwe? Jehuyu ni mmoja, ni wangap watoto wa masikini pengine ndio wanamuangalia kua atakuja kua mkombozi wa familia, wanafanyiwa uonevu huu ?
Mimi ni mmoja wapo, imewahi nitokea hivyo, na kila kitu kipo.
 
Ulifanyaje boss?
Mimi nimeapa hii kitu lazima ifike hadi kwa waziri husika. Haiwezekani mtu ufanyiwe uonevu na kukosa haki kwenye nchi yako
Hahaha 🤣 🤣 ivi unawajua utumishi vzr kwanza uyo binti amesoma anajiweza au unalalama apa ukachome nauli uko paper zao si mchezo

Good luck 🤞
 
mtoa mada ana hasira kali sana anajiona ana haki yaani anaamini kuitwa kwenye usaili ndio kupata hio kazi..ukute wanahitajika watu 10 tu lakini wasailiwa wako mia moja na hata wakikupiga chini kwenye usahili au waajiri wakampa ajira mwenye ufaulu mdogo kuliko wako nako pia utalia kuonewa kisa tu unajiona bora au una ufaulu mzuri wa vyeti eti ndio unajiaminisha huwezi kukataliwa popote.!
 
Nilimuombea kaz mdogo wangu sehemu kama nne tofauti, hizi ajira za halmashauri kupitia sekretariet

Cha kushangaza ni kwamba baadhi ya sehemu alikua shortlisted na pengine akawa not shortlisted reason et hajaatach cheti, wakati cheti kilikuapo kabisa

Tanzania na mifumo wapi na wapi mijipu ya kutumbua bado imo maofisini
 
mtoa mada ana hasira kali sana anajiona ana haki yaani anaamini kuitwa kwenye usaili ndio kupata hio kazi..ukute wanahitajika watu 10 tu lakini wasailiwa wako mia moja na hata wakikupiga chini kwenye usahili au waajiri wakampa ajira mwenye ufaulu mdogo kuliko wako nako pia utalia kuonewa kisa tu unajiona bora au una ufaulu mzuri wa vyeti eti ndio unajiaminisha huwezi kukataliwa popote.!
Soma thread uelewe tajiri boss

Sio kujiona ana haki. Anayo haki ya kuitwa usaili. Amefanyiwa dhulma na uonevu mkubwa. Kwanini tusilalamike sehemu Ingekua unatuma tu maombi ya kazi bila status ya application yako kujulikana kwamba kwanini hujaitwa tuje kulalamika mahala ambapo status application yako ya kuomba kazi imeandikwa na sababu kwanini hujaitwa

Na taarifa yako sio kazi za kuitwa watu elfu kumi kwa nafasi moja. Watu 30 tu ndio wameitwa hio nafasi ya ajira ya serikali.
 
Nilimuombea kaz mdogo wangu sehemu kama nne tofauti, hizi ajira za halmashauri kupitia sekretariet

Cha kushangaza ni kwamba baadhi ya sehemu alikua shortlisted na pengine akawa not shortlisted reason et hajaatach cheti, wakati cheti kilikuapo kabisa

Tanzania na mifumo wapi na wapi mijipu ya kutumbua bado imo maofisini
Bora hata wewe mkuu umenielewa na imeshakutokea live. Hii ni dhulma na uonevu wa wazi kabisa. Tukisema watu wameandaliwa kwenye hizo nafasi tutakua tunaongopea? na wameona huyu ataipata hio nafasi mana ana GPA ya 4.0
 
Back
Top Bottom