sam mirror 1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2022
- 969
- 2,318
Muache naye atachanganyikiwa kwa mda wake anahisi GPA 4 dili kwa utumishi wazee wa mikando.tumwambie au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muache naye atachanganyikiwa kwa mda wake anahisi GPA 4 dili kwa utumishi wazee wa mikando.tumwambie au
Uzi wako umekosa mashiko kwasababu ya kutanguliza mfumo jike "binti"Ni jambo la ajabu lakini la kweli.
Mojawapo ya tangazo lililowekwa katika tovuti ya ajira portal na mara zote kabla hujaweza ku apply system inakuambia ama kukukumbusha uhakikishe ume attach barua ya maombi ya kazi.
Binti huyu alikua na sifa zote kama kazi ilivotaka na pia system ilimuwezesha kuomba hio kazi, sababu sifa anazo, na zaidi profile ama wasifu wake amejaza taarifa kwa usahihi kabisa na kuambatanisha viambata vyote muhimu,
Cha ajabu tarehe na ratiba ikatolewa ya usaili kwenye tovuti,ila ajabu kwenye application yake kaandikiwa hajawa shortlisted sababu haja attach transcript ya chuo kikuu( in which kipo). Na kama tume ya ajira ingetaka kujiridhisha kuangalia academic transcript ya mtahiniwa huyu walishindwa nini ku view profile yake na kuiangalia?
Je huu sio uonevu na kunyimwa haki ya kufanyiwa usaili kwa wazi kabisa ? Au ndio njia ya kuwasafishia wengine njia ya kupata ajira kiulaini?
Mana ni kama waliangalia kila namna watafute sababu wakakosa na wakaamua kupachika sababu hio isiyo na mashiko
Mkuu tumekukumbuka wajasilia mali kwa njia ya ubashiri binafsi uliniokoa sanaafanye mawasiliano haraka, atawekwa, bado hajachelewa.
Wasiliana nao hiyo ni system error hutokea sana acha kuwatisha watu! Wasiliana nao kama unayoyasema ni kweli ataongezwa kwenye usaili!Ulifanyaje boss?
Mimi nimeapa hii kitu lazima ifike hadi kwa waziri husika. Haiwezekani mtu ufanyiwe uonevu na kukosa haki kwenye nchi yako
Hahaha [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji23] [emoji23] jamii forum kweli inafurahisha
tumwambie au
Ok. kumbe unanidhibitishia hua wanafanya makusudi kuwasafishia njia wengine sio.Muache naye atachanganyikiwa kwa mda wake anahisi GPA 4 dili kwa utumishi wazee wa mikando.
Hahahaha Kwa waziri husika. Ila watz bwanaUlifanyaje boss?
Mimi nimeapa hii kitu lazima ifike hadi kwa waziri husika. Haiwezekani mtu ufanyiwe uonevu na kukosa haki kwenye nchi yako