Binti afanyiwa uonevu na anyimwa haki ya kuitwa kwenye usaili

Mimi sijasoma ila naweza kuwa na uelewa kidogo ila haya mambo ni magumu sana, hii inaitwa watu kujuana kwa vilemba
 
Uzi wako umekosa mashiko kwasababu ya kutanguliza mfumo jike "binti"
 
Ulifanyaje boss?
Mimi nimeapa hii kitu lazima ifike hadi kwa waziri husika. Haiwezekani mtu ufanyiwe uonevu na kukosa haki kwenye nchi yako
Wasiliana nao hiyo ni system error hutokea sana acha kuwatisha watu! Wasiliana nao kama unayoyasema ni kweli ataongezwa kwenye usaili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…