Binti aliyeniacha 2020 kisa kupoteza kazi amerudi 2023. Nishaurini hapa!

Hapo tena kuna ushauri mkuu

Mwambie kuwa kuna mashamba ya serikali aende akalime kufanya kazi bure na malipo bure, akajichagulie eka zake huko mbele

Kuna kademu kalicheat

Nilikutana nacho kazini mara mazoea na tukawa wapenzi nimeishi naye kitambo kidogo kumbe alikuwa na mtu wake na the first time nakutana naye nilimwambia kuwa sipendi kuingilia mahusiano ya mtu hakikisha hauna mtu ndio tunaanza mahusiano akasema hana mtu na hawezi kunifanyia hivyo siku zikaenda

Kuna siku kikanipigia kibaba kinalia kuwa nimemchukulia msichana wake ambaye ana mipango naye, jamaa niliongea naye takribani masaa 4 Na 30

Baada kama ya mwezi ndio nikamwambia huyo she kilichotokea, alilia nusu afe Coz nilikuwa namzimgatia everything a too... nikamuomba aende taratibu alinigomea nikamwambia nitakuachia nyumba na mziki wa kulipa nyumba sio mchezo akakubali akaenda

Tunaendelea na mawasiliano coz sikugombana naye sababu najua sanaa kuhusu relationship

Anakoma maana sasa hivi amechoka balaa nimegundua kuwa nilikuwa zaidi ya baba yake, kama simuoni vilee
 
Acha ufala utaumia
 
Tapeli hilo
 
Nsam kama hukumrudia huyo tapeli nakuruhusu uje utoe mrejesho. Kama hamna basi usije hapa.
 
Dalili mojawapo kuthibitisha wewe ni dhaifu .
 
Ni kosa kubwa sana kumrudia mwanamke aliyekuacha kwa kuwa ulikwama kimaisha,huyo ni mjasiliamali tu achana naye.
 
Aisee huna msimamo kabisa, alikuacha mwenyewe three years back? Now amerudi unataka kumbeba?
Lea huyo ulie nae sasa
 
We msamehe tu na fufua penzi. Ichakaze mbususu kila ukipata nafasi na hata siku moja usiwe na malengo naye. Kazi yako ni kulipa deni, akija na pigo za hela mwambie wee ni wife material hela za nini wakati najichanga kuleta posa kwenu. Usiache kuichakaza mpaka afubae. Katu usimwache atakuacha mwenyewe tena,
 
I'm late. Lakini hako kabinti kanakuchezea akili. Kanasema kako-lonely hakana hata mtu wa kupanga nae vitu na hapohapo kanasema wapo wengi wenye kila kitu.


CONTRADICTION!!!
 
Aende alikoenda mwanzo kashakuonyesha ukiwahuna Hela wewe ni takataka kwake. Mkuu hujaona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…