Binti aliyeniacha 2020 kisa kupoteza kazi amerudi 2023. Nishaurini hapa!

Nikikutana na wanaume wasio na maimamo kama wewe hua natamani mngeongezwa kwa list ya madem tushindue tu, sasa una mwanamke mwenye mimba unahangaika na nini duhhh shida sana,,,
 
Patamu hapo maneno mazurii unaingizwa mkengee ili umtende mtoto watu na ana mimba yako
 
Acha ujinga huoo.....usimtende huyo binti tena mja mzito....thamini sana kiumbe chakooo.....ogopa laana wadada
 
Wanaume wanapungua kwa kasi, sijui mabinti zetu miaka hiyo ya mbele itakuwaje.

Mkuu unaanzaje kuwa na kiongozi wa familia wakat vitu vidogo vidogo kama hivi vinakushinda.

WANAUME HATUENDESHWI NA MOYO kwenye mapenzi, hisia weka mbali, tazama uhalisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…