Binti aliyetolewa mahari katoroka na mwanaume mwingine

Binti aliyetolewa mahari katoroka na mwanaume mwingine

Hivi mwanamke ni kiumbe wa namna gani? Kumbe wanashawishika kirahisi.

Kuna binti Wa miaka 23 katolewa mahari na amesha tangaza na uchumba kabisa ila chakushangaza katoroka na mwanaume mwingine na haijulikani wako maeneo gani kwa sasa.
Nyundona wenzake wapewe jukumu la kumpa adhabu huyo mwanamke
 
Hivi mwanamke ni kiumbe wa namna gani? Kumbe wanashawishika kirahisi.

Kuna binti Wa miaka 23 katolewa mahari na amesha tangaza na uchumba kabisa ila chakushangaza katoroka na mwanaume mwingine na haijulikani wako maeneo gani kwa sasa.
Nyundona wenzake wapewe jukumu la kumpa adhabu huyo mwanamke
 
unafikiri kwanini shetani aliamua kudili na binadamu..? Adam alikuwa na mwanamke anaitwa Lilith,shetani akamshawishi lilith na akamuacha adam ndo adam akaletewa eva!. sasa shetani nae akatendwa na Lilith alipigwa na kitu kizito na ndio maana shetani akanuna akamuonea adam donge maana mapenzi yake na eva yalikuwa motomoto!.
shetani akaamua akawavuruge kama yeye alivyovurugwa na lilith! kiufupi shetani aliamua iwe ubaya ubwela!.
Nazani Mungu aliondolea akili kabsa baadhi ya binadamu. Bila shaka we ni mmoja wao
 
Back
Top Bottom