Binti amenichanganya mpaka nimeshukia njiani

Kasie utakuwa mtamu sana machoni .

I wish uje pm unizingue kama hizo "crush" zako[emoji3]
 
Yaani hujatengeneza mchongo ukiwa kwa basi haf ume dro ndo unaaza kunyatia. pole aise
 
Kasie utakuwa mtamu sana machoni .

I wish uje pm unizingue kama hizo "crush" zako[emoji3]

Kawaida sana sema haya mambo hayafanani machoni pa watu, we unaweza kuangalia tunda ukasema limeiva kwa kuliwa mwingine akasema hapana limeiva sana siliwezi mwingine akasema tunda raha ulile bichi na chumvi.

Waweza jikuta unasema huyu nae, mbona anajipromo wa kawaida sanaa ila kuna vinasaba ambavyo kila mwanaume kwa nyakati tofauti akiviona huona Kasie ni bonge ya totoz hehehehe hata hivyo sikuhizi nshazeeka si kama nilivokuwa kigori.
 
We jamaa bwege Kweli... Sikuhizi whatsup inapiga sound kuliko ulivofanya
 
Nimesoma comments mpaka page hii ya 5. Nimecheka mno. Ndivyo tulivyo
 
Nimesoma comments mpaka page hii ya 5. Nimecheka mno. Ndivyo tulivyo

Mmmh kweli umecheka ssna hadi 3 kwako imekuwa 5 hehehhee hongera kwa kufurahi na kuongeza maisha.
 
Mambo kasie?

Kumbe roho mbaya ulikuwa nayo kitambo tu na siyo kwa binamu yako.

Mambo poa,

Hahahah hujanielewa tuu Kasie hana roho mbaya yuko peace tuu sema nj mkali akiona mizengwe na ndivyo sivyo.

Binamu kwakweli alinikosea adabu na kama ni roho mbaya kwa binamu acha niwe nayo asee tena akithubutu kurudia namnunia mazima.
 
Mambo poa,

Hahahah hujanielewa tuu Kasie hana roho mbaya yuko peace tuu sema nj mkali akiona mizengwe na ndivyo sivyo.

Binamu kwakweli alinikosea adabu na kama ni roho mbaya kwa binamu acha niwe nayo asee tena akithubutu kurudia namnunia mazima.
Hahahahah!

Siyo vizuri hivyo..kasie
 
Ni kujichanganya na ujinga tu ambao asilimia ya humans upitia ... I blv next time utakuwa umesha learn a lesson
 
Ha haa! Mkuu iyo huwa inatokeaga... Hata mie nilishafanya kama wewe kwenye hizi dala dala...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…