Binti amenichanganya mpaka nimeshukia njiani

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama umenifanya nicheke sana , umenifanya leo nikumbuke story kama hiyo ambayo niliificha kwa washikaji, ni kama miaka miwili imepita nilikuwa natoka dzm naenda Arusha kwenye harusi ya rafiki yetu, sasa washikaji wangu wawili waliniomba n9je na nguo zao watakazoo vaa harusini, nakutana na mtoto mkaliii vibaya mno ndani ya basi, yule mtoto alikuwa anashukia njia panda ya kwenda himo alikuwa anaenda marangu baada ya kukosa chansi ya kuongea nae kwenye basi ilibidi na mimi nishuke hapo njia panda huku ni nguo za washikaji na harusi ni kesho yake ilikuwa mida ya saa kumi jioni.Kweli wanawake sometimes hutufanya tuchizike yule mtoto nilimfuatilia mpaka marangu jinsi nilivyopiga sound ni siri yangu, mtoto ilibidi adanganye huko aendapo kuwa basi limeharibika njiani huku washikaji wananiuliza nipo wapi nawaambia gari limeharibika, nikafanya yangu kuja kushtuka mda umeenda nikashawishi binti tukalala kabisa nikasahau nina mzigo wa watu.Nafika arusha kesho yake saa saba, nakuta watu wamenuna hawajaenda kanisani sababu yangu, ila siri nilibakiwa nayo mimi[emoji2] [emoji2] [emoji2] POWER OF PAPUCH
 
Inaonesha we domo zege na limbukeni kabisa. Sa uliona kumsemesha ndani ya siti tena karibu kabisa hata jirani hakusikii ni shida. Huko nje ya basi si ngoma nzito zaidi?? Umebaki kumkodolea mimacho mpaka mwenye nacho akaja kuchukua mzigo wake. Hata namba ya sm ukashindwa kumtoa!! Jamani, hata chembe ya huruma kwa mtu ka wewe miye sina. Pambafuuuu halaf unathubutu kuja aibisha warume hapa JF??? Liwe fundisho kwako na wengine domo zege ka weye.
 
Dah sijui hata mara ya mwisho nimetongoza mwanamke live ni lini ,Teknolojia imefanya mambo kuwa marahisi sana

Eroo natumia Whatsapp ya moto au baridi ,muhudumu letea cup
 
haha mkuu umetishaaaa, eeh bt hapo ulipiga na papushina eeeh i surrender you
 
Hahahaa. Sikuwahi kuwajaza mkuu. Niko makini kwa hilo. After all mimi wa kawaida mno.
nimeoteshwa kua nawe nimoja ya kiumbe mwenye haiba,ewe kiumbe uliezaliwa kipindi cha mavuno hakika umependelewa na kujaaliwa....... najua kunamijamaa nimeipa verses for free hapa
 
nimeoteshwa kua nawe nimoja ya kiumbe mwenye haiba,ewe kiumbe uliezaliwa kipindi cha mavuno hakika umependelewa na kujaaliwa....... najua kunamijamaa nimeipa verses for free hapa
Mhhhh hayaaaaa. Usiku mwema
 
MUNGU anakuona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…