[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama umenifanya nicheke sana , umenifanya leo nikumbuke story kama hiyo ambayo niliificha kwa washikaji, ni kama miaka miwili imepita nilikuwa natoka dzm naenda Arusha kwenye harusi ya rafiki yetu, sasa washikaji wangu wawili waliniomba n9je na nguo zao watakazoo vaa harusini, nakutana na mtoto mkaliii vibaya mno ndani ya basi, yule mtoto alikuwa anashukia njia panda ya kwenda himo alikuwa anaenda marangu baada ya kukosa chansi ya kuongea nae kwenye basi ilibidi na mimi nishuke hapo njia panda huku ni nguo za washikaji na harusi ni kesho yake ilikuwa mida ya saa kumi jioni.Kweli wanawake sometimes hutufanya tuchizike yule mtoto nilimfuatilia mpaka marangu jinsi nilivyopiga sound ni siri yangu, mtoto ilibidi adanganye huko aendapo kuwa basi limeharibika njiani huku washikaji wananiuliza nipo wapi nawaambia gari limeharibika, nikafanya yangu kuja kushtuka mda umeenda nikashawishi binti tukalala kabisa nikasahau nina mzigo wa watu.Nafika arusha kesho yake saa saba, nakuta watu wamenuna hawajaenda kanisani sababu yangu, ila siri nilibakiwa nayo mimi[emoji2] [emoji2] [emoji2] POWER OF PAPUCH