maombi maalumu kwa wakati maalumu,, huwezi omba ndizi na unashida ya andaziHayo maombi ni kwa sababu ya kumlelea mwanae, angemuombea bila kuhusisha mtoto.
Kumbemaombi maalumu kwa wakati maalumu,, huwezi omba ndizi na unashida ya andazi
Yes yesKumbe
Sawa lamamaYes yes
Chenille viburi na dharau muolewe.heh,, uyo mbona kama nimimi jamaniiiii,,sijui bila uyu mwanamke shupavu(Mama), ningekua wapi mimi daaah ❤️
wakiolewa dada zako na watoto wako wa kike wanatosha kutuwakilishaChenille viburi na dharau muolewe.
Mtoa mada anataka binti akomae apambane kulea mama na mtoto asikae kilelemama hahaInasikitisha sana...
Hayanaga muongozo...