Binti anatafuta kazi , Elimu yake form four na anajua kutumia computer vizuri sana.

Binti anatafuta kazi , Elimu yake form four na anajua kutumia computer vizuri sana.

Joined
Dec 11, 2024
Posts
94
Reaction score
240
Habari ya uzima.

Yupo binti anatafuta kazi , Elimu yake kidato cha nne, Ila anajua kutumia computer vizuri.

Kazi yoyote anaweza kufanya mfano dukani , kwenye taasisi Kama office attendant, n.k

Angependa alipwe 200-250K

Sifa zake.
Umri 24
Mchapaka Kazi
Anafundishika.
Mtu wa kujituma na kutoa matokeo .


Yupo DSM Kwa sasa .

Mawasiliano 0658124288, au waweza ni PM.
 
Habari ya uzima.

Yupo binti anatafuta kazi , Elimu yake kidato cha nne, Ila anajua kutumia computer vizuri.

Kazi yoyote anaweza kufanya mfano dukani , kwenye taasisi Kama office attendant, n.k

Angependa alipwe 250-300K

Sifa zake.
Umri 24
Mchapaka Kazi
Anafundishika.
Mtu wa kujituma na kutoa matokeo .


Yupo DSM Kwa sasa .

Mawasiliano 0658124288, au waweza ni PM.
Hapo kwenye angependa alipwe hapo 😅😅😅😅
 
Kuna ofisi moja ya warabu wanatoa ajira ila sharti binti au kijana awe bikra km ni bikra nikupe contact zao muwasiliane

Mshahara ni km dola 500 kwa mwezi na wanafanya kaz masaa7 kwa sku 5
 
Habari ya uzima.

Yupo binti anatafuta kazi , Elimu yake kidato cha nne, Ila anajua kutumia computer vizuri.

Kazi yoyote anaweza kufanya mfano dukani , kwenye taasisi Kama office attendant, n.k

Angependa alipwe 200-250K

Sifa zake.
Umri 24
Mchapaka Kazi
Anafundishika.
Mtu wa kujituma na kutoa matokeo .


Yupo DSM Kwa sasa .

Mawasiliano 0658124288, au waweza ni PM.
Anajua kutumia Arch GIS? Anajua kutumia Autocad? Anajua kutumia Epanet?
 
Back
Top Bottom