Binti anatafuta Mchumba


Mkuu umekitumia wee halafu sasa ndo unataka kumuacha?
Mwambie aingie mwenyewe atafute?
 

aje mwenyewe kwa nini atumie mtu wa 3 na yeye ni msomi tena ana diploma? acha kuchekesha wewe. hivi ninyi suala la kuoa mnaona ni kama suala dogo sana kama ambavyo serikali ya mr.dhaifu inavyochukulia suala la ufisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…