Binti asimulia Polisi alivyomvua nguo mbele ya baba yake Serengeti

Binti asimulia Polisi alivyomvua nguo mbele ya baba yake Serengeti

Swali, baada ya kipigo hizo bunduki walizipata au wamewaua kufuta ushahidi.

Polisi wa Tanzania hawajui kupeleleza, WATAKUPA KIPIGO HADI UKIRI KOSA HATA KAMA HUJAFANYA.

division four na zero!
Walipomsingizia Mbowe makosa makubwa ya Ugaidi huku wakijua kabisa sio kweli inasikitisha sana
 
Swali, baada ya kipigo hizo bunduki walizipata au wamewaua kufuta ushahidi.

Polisi wa Tanzania hawajui kupeleleza, WATAKUPA KIPIGO HADI UKIRI KOSA HATA KAMA HUJAFANYA.

division four na zero!
Mimi nasema tena kuwa Mama Samia ni Kiongozi mzuri sana lakini kiatu cha Urais kimempwaya sana mambo yanayoendelea Sasa hivi yanataka mtu mwenye nguvu ambaye akikemea anasikilizwa kweli hii Mama hana Tanzania upole ni shida kubwa ona Sasa raia wanauwawa na Polisi kwa kasi ya kutisha sana Mungu tunusuru waja wako.
 
Back
Top Bottom