Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Johari alitekeleza mauaji hayo November 19,2023 saa tano katika eneo la Mawelewele Mkoani Iringa kwa kumtumbukiza mwanaye kwenye ndoo iliyopo chooni kichwa chini miguu juu na kusababisha kifo chake.[emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app