Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Div 1.9 hapati UDOM, MUHAS, BUGNDO & KCMC
Msimtwishe Waziri mzigo ndugu zangu
Aombe mkopo wa kusoma Kairuki et all
Mwambie aombe chuo ambacho ni Cha SerikaliNimetumia akili ndio maana nikaja kwa wenye ujuzi zaidi yangu maana hakuna anayejua kila kitu duniani
Asante kwa kunipa jibu kwamba hawezi kupata Muhas
Ila na wewe wakati mwingine utumie akili kujua kwamba kile unachokijua wewe sio kila mtu anakijua
Barikiwa BUKOBA LAND 🤝
Habari za jioni wakuu mabibi na mabwana
Huyu binti namfahamu tangu akiwa mtoto. Anatoka kwenye mazingira magumu kuliko ngumu wenyewe.
Hamjui baba yake mzazi, hajawahi kumsikia wala kumuona.
Mazingira ambayo mama yake hawezi kumiliki hata simu ya elfu20, hawezi lipa kodi vyumba2 vya elfu 60 uswahilini kwetu huku, hana uhakika wa kulisha watoto wake milo miwili kwa siku lakini amepambana hadi binti kafika kidato cha sita kwa msaada wa serikali na amepata hayo matokeo hapo.
Alipofaulu kidato cha nne kwenda kidato cha tano mkoani hata nauli wachana na Ile ada ya elfu70 ya Magufuli ilikua shughuli kubwa. Wakati wa kufunga shule ndio ilikua hadi walimu wapige simu kwa namba atakazowapa za ndugu na jamaa ndio arudi njiani. Yaani kwa kifupi amekua kwenye mazingira magumu nyakati zote shuleni na nyumbani
Pamoja na kuwa amesoma shule zetu za serikali tangu chekechea hadi kidato cha sita na matokeo yake ni hayo hapo, amejitahidi kadri ya uwezo wake kwa lengo la kuja kusomea masomo ya utabibu kama udaktari au maana ya lakini leo nimeumia kidogo baada ya kumkuta kajikunyata kwa huzuni baada ya kukosa ufadhili au mkopo wa serikali kwa kozi hizo ambazo ada zake zipo juu
Nimewaza nikaona nije hapa jukwaani kwa wajuzi wa mambo maana najua hapa kuna wazoefu, walimu, wasomi, washauri, wazazi wenye mapenzi mema labda Huyu binti anaweza saidika
Mtoto wa mwenzio no mtoto wako, natanguliza shukrani
Nawasilisha[emoji1666]
Cc Dada Ummy Wizara ya Afya Tanzania
Asante Myahudi Jr II Nitamwambia aombe kairuki
Mwambie aombe chuo ambacho ni Cha Serikali
Ambacho kitaendana na ufaulu wake
Then akamilishe taratibu zote za uombaji mkopo 2022/2023
Ikitokea kwa bahati kakosa mkopo ndo utupatie Bandiko maana hapa wengi tunazo namba za watu wa Helsb hope atasaidiwa
Anasema kaambiwa hakuna mkopo wa course zake
Naomba link mkuu
Kwa maana hiyo nimwambie aachane na mambo ya ufamasia au udaktari. Niko sawa!?
Ada ya kairuki unajua ni sh ngapi hivi Kama unasema Ni mtoto wa maskini then unataka asome kairuki I guess unata ku-bury dreams za huyo dogo
Aombe tena chuo batch twoNimesoma chuo lakini mambo ya mkopo siyajuagi sikuwahi bahatika kukopeshwa
Tulipomaliza form six shule yetu ilikua ya nne kitaifa na PCB wa kwanza alipiga one ya point 7,......,One ya Tisa hawezi kwa miaka hii,pata MD kwa vyuo vya serikali ambavyo ni rahisi kupata kwa uchumi wake.Habari za jioni wakuu mabibi na mabwana
Huyu binti namfahamu tangu akiwa mtoto. Anatoka kwenye mazingira magumu kuliko ngumu wenyewe.
Hamjui baba yake mzazi, hajawahi kumsikia wala kumuona.
Mazingira ambayo mama yake hawezi kumiliki hata simu ya elfu20, hawezi lipa kodi vyumba2 vya elfu 60 uswahilini kwetu huku, hana uhakika wa kulisha watoto wake milo miwili kwa siku lakini amepambana hadi binti kafika kidato cha sita kwa msaada wa serikali na amepata hayo matokeo hapo.
Alipofaulu kidato cha nne kwenda kidato cha tano mkoani hata nauli wachana na Ile ada ya elfu70 ya Magufuli ilikua shughuli kubwa. Wakati wa kufunga shule ndio ilikua hadi walimu wapige simu kwa namba atakazowapa za ndugu na jamaa ndio arudi njiani. Yaani kwa kifupi amekua kwenye mazingira magumu nyakati zote shuleni na nyumbani
Pamoja na kuwa amesoma shule zetu za serikali tangu chekechea hadi kidato cha sita na matokeo yake ni hayo hapo, amejitahidi kadri ya uwezo wake kwa lengo la kuja kusomea masomo ya utabibu kama udaktari au maana ya lakini leo nimeumia kidogo baada ya kumkuta kajikunyata kwa huzuni baada ya kukosa ufadhili au mkopo wa serikali kwa kozi hizo ambazo ada zake zipo juu
Nimewaza nikaona nije hapa jukwaani kwa wajuzi wa mambo maana najua hapa kuna wazoefu, walimu, wasomi, washauri, wazazi wenye mapenzi mema labda Huyu binti anaweza saidika
Mtoto wa mwenzio no mtoto wako, natanguliza shukrani
Nawasilisha[emoji1666]
Cc Dada Ummy Wizara ya Afya Tanzania
AsanteeeTulipomaliza form six shule yetu ilikua ya nne kitaifa na PCB wa kwanza alipiga one ya point 7,......,One ya Tisa hawezi kwa miaka hii,pata MD kwa vyuo vya serikali ambavyo ni rahisi kupata kwa uchumi wake.
Maisha hubadilika sana,kadri ya nyakati,.....
pia msihi,si kila anachotamani anaweza kukipata,,na ridhiki anapanga mwenyezimungu,na ridhiki ni kubwa zaidi ya matamanio yetu.
tulimaliza na mtu alipata 3 point 13,huyu alienda UDSM kusoma uvuvi na kufikia hadi level ya master na wakamuhitaji kufundisha akakataa,yupo anafanya kazi kwenye international firm za uvuvi biashara.
Yupo pia aliyesoma UDSM beekeeping,alikosa MD,sasa ni lecture UDSM na anapiga PhD pia.
Ajaribu kitu kingine,hakuna sehemu palipoandikwa ridhiki yake ataipata kupitia MD.
Natamani sana iwe hivyo. Mtambulishe pls madam.Usikute baba yake ni wewe Ndugudu 😐😐😐