Binti kamaliza form 6 na ndoto za kusomea udaktari kwa matokeo ya Division 1 ya 9; Physics C, Chemistry C, Biology C, Maths C, amekosa mkopo

Mwambie aombe chuo ambacho ni Cha Serikali
Ambacho kitaendana na ufaulu wake
Then akamilishe taratibu zote za uombaji mkopo 2022/2023

Ikitokea kwa bahati kakosa mkopo ndo utupatie Bandiko maana hapa wengi tunazo namba za watu wa Helsb hope atasaidiwa
 

Hiyo ilikuwa combination gani yenye Maths C? Manake Maths alisoma BAM sasa inakuwaje BAM iwe na credit badala ya S au F? Huyu kawaingiza chaka jamani, mpuuzeni.
 

Kwa maana hiyo nimwambie aachane na mambo ya ufamasia au udaktari. Niko sawa!?
 
Ada ya kairuki unajua ni sh ngapi hivi Kama unasema Ni mtoto wa maskini then unataka asome kairuki I guess unata ku-bury dreams za huyo dogo

Kujua wewe nipe ushauri kadri ya maelezo niliyotoa. Kusema ukweli Mimi mambo ya helb siyajuagi kabisaaa
 
Nimesoma chuo lakini mambo ya mkopo siyajuagi sikuwahi bahatika kukopeshwa
Aombe tena chuo batch two
Then uo ufaulu wake wa 1.9 Ni Mdogo Sana kwa course ya Udaktari Kupata nafasi


So aombe courses ambayo atapata nafasi ya kusoma degree

Pia mkopo Kupata lazima Apate maana Hadi muda hakuna Form leaver ambaye kashajua kuwa kapata mkopo au kakosa sasa wewe umea-Adress kuwa kakosa mkopo wakati allocation hazipangwa ! Hapo umezua taharuki
 
Tulipomaliza form six shule yetu ilikua ya nne kitaifa na PCB wa kwanza alipiga one ya point 7,......,One ya Tisa hawezi kwa miaka hii,pata MD kwa vyuo vya serikali ambavyo ni rahisi kupata kwa uchumi wake.
Maisha hubadilika sana,kadri ya nyakati,.....
pia msihi,si kila anachotamani anaweza kukipata,,na ridhiki anapanga mwenyezimungu,na ridhiki ni kubwa zaidi ya matamanio yetu.
tulimaliza na mtu alipata 3 point 13,huyu alienda UDSM kusoma uvuvi na kufikia hadi level ya master na wakamuhitaji kufundisha akakataa,yupo anafanya kazi kwenye international firm za uvuvi biashara.
Yupo pia aliyesoma UDSM beekeeping,alikosa MD,sasa ni lecture UDSM na anapiga PhD pia.
Ajaribu kitu kingine,hakuna sehemu palipoandikwa ridhiki yake ataipata kupitia MD.
 
Asanteee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…