Mkuu,Hii ni ishu!
Jinsi Wahindi wa A-Z walivyo na nguvu Arusha hii nina wasiwasi kama haki itatendeka!
Ngoja tuweke kambi maeneo!
hata kuomba wameshindwa? Au zindiko?Labda walikuwa bado hawajua viwanja. Si unakuta ni wageni.
ehhe thubutu kugusa mabinti wao kama hawakuzika live. Kwanza hata ukipendwa kwa dhati na binti yao kamwe hawakupi umwoe hata iweje.duh hii janga hawa wageni wamefikia hatua hiyo baada ya kupewa nguvu na watawala,utashangaa sana hao wabakaji hawana hata hati inayowaruhusu kuishi nchi operesheni kimbunga imekazania mikoa ya kagera,kigoma na geita.
Tuanzishe operesheni ya kukamata mabinti wa kihindi na sisi mpaka kieleweke.
Mkuu,
Asikudanganye mtu HAKUNA MUHINDI MWENYE NGUVU HAPA TANZANIA....Hawajaingia kwenye 18 ya vyombo husika. Upelelezi utafanyika na Kama wakikutwa na hatia watashughulikiwa kutokana na sheria za nchi.
Mkuu Losambo,Hao wahindi wanaongoza kwa kutoa rushwa nasikia hapo jijini Arusha