Hii kitu imeongelewa mara kibao,anayeweza kuweka link atakua amekusaidia
Utoko ni discharge ya kawaida sana,hata usipoona wakati wa tendo lazima ukute ute huo mzito kwenye kyupi
Kiafya hauna madhara kama
Kama kuna harufu,ute huo una rangi kama njano or brown basi lazima kuna maambukizi.
Ute huo kuwa mwingi au kidogo hutofautiana mwanamke na mwanamke kwasababu za kimaumbile
NOTE: Kizaz hujiswafi chenyewe ndo mana kuna ute kama huo na si vyema kujisafisha tupu(kwa mwanamke) kwa kujiingiza kidole kwenye tupu kwani husababisha maambukiz.
Cha msingi selfu hygene izingatiwe