Binti kutoa uchafu uken wakati wa tendo la ndoa

JF Uwanja mpana...somo kama hili FB hulipati ng`o....
 
aisee kweli nami nimeanza kushtuka
 
Utoto unakusumbua na biology imepita pembeni. mwanamke anapokaribia kuingia kwenye siku zake kabla ya wk wengne siku 3 huwa na mabadiliko ya kimwili na hilo likiwemo na tofauti ni pale wengine kuzidiana kutokana na maumbile na badaye huisha na huanza cku zake mpka mzunguko mwngne tn,ila ukitoa harufu mbaya ndo maradhi aende hospital. Na ukiona huo ute ni mweupe lkn si mweupe unapoishia kwenye chupi ndo utaona rangi yake dhahiri huwa wa njano njano. Umenipata mkaka
 

Well explained... welldone mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…