Lusomya,Historia ya Tanganyika imemficha mwanamama huyu ambaye alipingana na viongozi wa Tanu wakiongozwa na Mwalimu Nyerere na wazo la UN kuwa Tanganyika ipewe Uhuru mwaka 1971 na kushinikiza uhuru wa Tanganyika kuwa 1961 na kuleta slogan maarufu wakati wa uhuru ñi sasa.
Kuendelea kutawaliwa na waingereza kulikuwa hakuna faida kwa kuwa Waingereza walikuwa hawana mipango yoyote ya kumuendeleza mtanganyika kwa kuwa ilikuwa sio koloni ĺake kamili. Waingereza walikuwa wanapora tu mali za watanganyika
Watasema ni Mohamedian follower ndo mana hayupo kwenye recordsLusomya,
Inakuwaje ikiwa tuna shujaa mpigania uhuru kama Bint Matola leo hatuna hata picha yake wala hajatajwa katika historia ya TANU?
Kuna mwenye jibu atupe?
Masokotz,Mzee wetu Mohamed Said
anaweza kutusaidia zaidi kuhusu Hii Historia.Maana umeiacha na Mapengo mengi sana.Tupe wasifu kamili wa huyu Binti Matola,Makazi na kazi yake,Uhusika wake Katika Kudai Uhuru kwa kina na Vyanzo au chanzo cha Taarifa zako.
Yeah With time imeshasahaulika
Washindi ndio huandika historia.Masokotz,
Mpaka leo natafuta picha ya Bi. Fatma bint Matola sijaipata.
Najiuliza kwa nini imekuwa hivi kuwa wapigania uhuru wote wamefutwa wamepachikwa watu wengine?:
Nani anajua historia za akina mama hao hapo chini waliopigania uhuru wa Tanganyika?"
View attachment 2961024
Amina Kinabo
Moshi
View attachment 2961037
Halima Selengia
Moshi
View attachment 2961034
Lucy Lameck
Moshi
View attachment 2961026
Tatu bint Mzee
Dar es Salaam
View attachment 2961049
Halima Khamis
Dar es Salaam
View attachment 2961028
Mwamtoro bint Chuma
Dar es Salaam
View attachment 2961030
Nyange bint Chande
Tabora
View attachment 2961032
Zarula bint Abdulrahman
Tabora
View attachment 2961031
Sharifa bint Mzee
Lindi
View attachment 2961044
Mwami Theresa Ntare
Kasulu
Yoda,Washindi ndio huandika historia.