LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 866
- 1,109
Historia ya Tanganyika imemficha mwanamama huyu ambaye alipingana na viongozi wa Tanu wakiongozwa na Mwalimu Nyerere na wazo la UN kuwa Tanganyika ipewe Uhuru mwaka 1971 na kushinikiza uhuru wa Tanganyika kuwa 1961 na kuleta slogan maarufu wakati wa uhuru ñi sasa.
Kuendelea kutawaliwa na waingereza kulikuwa hakuna faida kwa kuwa Waingereza walikuwa hawana mipango yoyote ya kumuendeleza mtanganyika kwa kuwa ilikuwa sio koloni ĺake kamili. Waingereza walikuwa wanapora tu mali za watanganyika
Kuendelea kutawaliwa na waingereza kulikuwa hakuna faida kwa kuwa Waingereza walikuwa hawana mipango yoyote ya kumuendeleza mtanganyika kwa kuwa ilikuwa sio koloni ĺake kamili. Waingereza walikuwa wanapora tu mali za watanganyika